Recent content by Astalavister

  1. A

    Kinana acharuka: Adai kampuni ni yake lakini meno ya Tembo si yake!

    acha uongo,,hiyo kampuni haikagui mizigo,,lazima uwe muelewa ebu toa ushahidi wa hiyo kampuni ya Malekani
  2. A

    Migiro kuwa Katibu Uhusiano wa Kimataifa CCM: Ni Demotion ama?

    kule amemaliza muda wake,na anachokifanya anajua na ndio maana aliweza kuplan mpaka akafika level hizo,,unaejaribu kumchafua hauna lolote wala chochote,,yuko determined kwa hiyo muacheni,,lakin pia CCM iko madarakan na hivyo inatumikia watanzani na yeye ni mwanachama hivyo mwachen awatumikie...
  3. A

    Dk. Slaa: Safu Mpya ya CCM imejaa Taswira ya Ufisadi

    huyu mzee muongo sana,,hao watatu anawajua sio waongeaji sana,ndio maana anazusha mambo ya kipumbavu,,kama anaushahidi aende mahakamani,,lakin amesema sekretarieti inaonekana ni ya kifisadi lakini hapa anatuhumu watu wawili,,haya aendelee na kwa hao waliosalia,,hafai kuingia ikulu huyu boya.
  4. A

    Edward Lowassa aumbuka Arumeru Mashariki

    Lowasa not equal to Lowassa. Na hakuna ushahidi wa kwel kwamba wameagizwa na Edward Lowassa
  5. A

    Basi la zakaria lachinja mwanza. Hizi ndo tabia za mmiliki wake!

    Inawezekana Zakaria akawa kama ulivyosema bt,kwa ajari hii mwenye makosa ni dreva wa Noah
Back
Top Bottom