Hello Mr/Ms
Salama Jaman !?
Natumaini ujumbe huu utakupata mkiwa wazima wa afya. Nimepata nafasi ya kuandika kwenu nikitumaini mna muda na nia ya kunisaidia katika ombi langu muhimu.
Mimi ni Samwel Assenga mwanafunzi kutoka Tanzania Nyumban niliye na shauku kubwa ya kuendeleza masomo yangu nje...
Habari Watanzania,
Napenda kuuliza hivi kama kuna ambaye amewah kuwa mnufaika wa HESLB na aka appeal (kata rufaa) na akaongezewa mkopo.
Ni mbinu gani ilitumika had akapata licha ya kuwa syo tasaf member, wazazi wapo wote na hamna ulemavu wowote.
Nimesema hivo kwa sababu mwaka wa Kwanza 60% ya...
Ni vigezo gani walivyotumia kuwapata hao ili na sisi ambao hatujapata nafasi hyo itakapojitokeza nafasi ingine ya kutuma maombi tuweze kurekebisha makosa na sisi tuweze kupata nafasi kama hizi
Nasoma procurement and logistics
Ila kikubwa kama Kuna uwezekano wa kumiliki asset kama hyo na haito athiri masomo nadhan ni jambo la muhim kulko biashara ambayo muda mwngne inahtaji usimamizi wangu
Nasoma procurement and logistics
Wazo zuri sana pongezi kweny.. niliwahi kufanya huu ufugaji lakini sikuwa na tips nzuri, mfano, namna ya kuwavutia nyuki kwenye mzinga mwisho wa siku nkabomoa yale majumba yake... Nlifeli wapi ndugu yangu
Habarini wakuu,
Ni mwanafunzi hapa mwaka wa kwanza nmepata bum, nmefkiria kufanya biashara lakini naona haitokua na usimamizi mzuri. Hivyo nmefkiria kununua n'gombe wa kienyeji. Nahitaji tips za ufugaji wa kienyeji na gharama zake (ndama) kwa ukanda wa Moshi huku.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.