BODI YA MIKOPO IMEAMUA KUWAFANYIA UFUSKA WANAFUNZI WANAOSOMA NJE, WAKIWEMO WA URUSI, HABARI ZA UHAKIKA KUTOKA KWA WANAFUNZI ( MAJINA TUNAYO) ZINASEMA , WALITAKIWA KUPATA HIZO HELA ZA KUJIKIMU TANGU SEPTEMBER MOJA LAKINI BODI HADI LEO HAIJATUMA HELA HIZO NA KUWAPA TABU WANAFUNZI HAO WAKITANZANIA...
The best among the poorest, check rank ya chuo hiko katika vyuo vya dunia, na africa peke yake, just find out by google by urself then uanze kufuta hizo sifa moja baada ya nyingine, sooooo saaaad!
Vigogo wajilipa mishahara minono, ajira kinyemela
Mikopo inayopaswa kurudishwa ni Sh. bil.300/-
Hadi sasa fedha zilizokusanywa ni Sh. bil. 9/- tu
Vigogo Bodi ya Mikopo (HESLB), wanakabiliwa na tuhuma nzito za ubadhilifu wa fedha kwa kujilipa mishahara minono na matumizi mabaya ya madaraka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.