Recent content by asmer

  1. A

    Mahusiano na ndoa nyingi zinavunjika sababu wanawake wamesahau kuwa mwanaume ameumbwa kuheshimiwa

    Na anakupenda na kufurahia hayo maisha?? Au sio shida zako🤣
  2. A

    Mahusiano na ndoa nyingi zinavunjika sababu wanawake wamesahau kuwa mwanaume ameumbwa kuheshimiwa

    Alafu mwenyewe anaona kapata, m naishi na wanawale Wana manung'uniko kibao moyo I, nyinyi mnafurahia mnaheshimiwa!Respect is earned sio kulazimisha
  3. A

    Msaada: Uliwezaje kumuacha mchepuko ilhali bado unampenda?

    Umesema yote, mapenzi ya kujificha mazuri bwana, asikuambie mtu, ile tu sense ya kuwa hiki si cha kwangu na muda ni mchache wa ku spend nae na ni kwa siri kuna exictment,ungekaa nae kama mke for few years ungekuweza kuwa tathmini tofauti na hiyo, all in all pole kwa maumivu, heals with time.
  4. A

    Rais Samia autengua uteuzi wa Mkurugenzi mpya wa TPDC. Amrejesha Mataragio

    Kuwa raisi ww basi!! Una la ziada au, ni wale wale kama mm huna la ziada zaidi ya kuwa nyuma ya keyboard kukosea watu ma raisi??? Raisi wa mfano no yupi, au tusiburi uwe wewe wa mfano!! You dont have to be against everything and everyone!! Binadamu makosa ni kawaida, na kama ameweza kurekebisha...
  5. A

    Rais Samia autengua uteuzi wa Mkurugenzi mpya wa TPDC. Amrejesha Mataragio

    Magufuli alishafanya hivyo si mara moja!! Let mama be!!
  6. A

    Rais Samia autengua uteuzi wa Mkurugenzi mpya wa TPDC. Amrejesha Mataragio

    Magufuli alimteua mkurugenzi nsssf leo kesho akamtoa?? Hakuona hilo kama dhaifu, au kwasababu ni mwanamke??? Acheni mambo yenu teuzi ni nyingi na ni binadamu! Na kama ana uwezo wa ku rectify kuna shida gani??? Ni mwanzo na kawaida wa mwanzo kuwa mgeni, acheni mama afanye kazi
  7. A

    MREJESHO: Kinachoendelea Mpaka sasa

    Let her go!! Weka imani Mungu anakuepusha na jambo mbaya mbeleni! Najua umeumia na bado unaumia, but kumbuka it is just a phase utasahau na maisha yataendelea! Wewe sio kwanza kuumia na hautakuwa wa mwisho! Usilazimisha utaishia kuwa mtumwa! Let her go, wacha dunia imfunze!
  8. A

    Trapped to a married man

    Mkeo akikuacha ili uendelee vzr na huyu mchepuko believe ndo utajua unampenda nani sana, sometimes it takes to loose someone in order to know their worthy!! Na ukianza kuishi na huyo side chick miaka kadhaa na kupata watoto ndo utajui kimya kinyemi nothing else,! Kuna watu wamepitia same...
  9. A

    Trapped to a married man

    Kwann unataka ushauri wakati unajua una maamuzi yako, all you want to hear "its okay to fall a married man!
  10. A

    Tz No 1 Ladies Player of All Times! Ujuzi wake haukamatiki...

    m new member,nachekaa kufa coz i think i knw the figure,dunia dogo aisee.wonders shall never endd.
Back
Top Bottom