Ni kweli usemalo. Ndio Maana nimesema kila jambo lazima uwe na elimu nalo. Lakini unaweza kujifanyia wewe mwenyewe tathmini na tafakari ya kina ulikuwa ni Nini kabla ya kuja duniani.
Kuna vinaovyonekana na visivyoonekana.ila uelewa unatofautiana. Lakini Mtu huyo anajua alitoka tumboni kwa mama yake. Na aliambiwa tu au kwa kuona mimba zilizomo matumboni mwa wamama . Upumbavu sio neno baya kama anaeambiwa mpumbavu anajua kuna Mahali anaemwambia hajui au hana elimu ya jambo Hilo.
Wewe Gujalati, acha kuweka maneno ambayo hayana msingi wowote kama huyui mali za waislam kaa kimya tu. Ni muislam gani ambae atakuchinja eti kisa mali zao. Wenyewe wanajua mali zao ni zipi ndo maana.
Yaani mambo hovyo sana sasa ni kuitwa mheshimiwa? Ama wabunge safari hii ni hovyo. Sasa walitoka halafu wameingia unashindwa kuelewa wamesamehe wafanye kazi au?
Kaka huu ndio ule mfumo kristo, ndio maana mapadre wamepinga sana. Basi kama kweli waislam mlitaka kadhi courts na wakristo wamewakatalia mnafanyaje? Kwani si ipo kura ya ndio au hapana tumieni. Otherwise fanyeni dua sana kwa Mwenyezimungu ndie bora wa mahakimu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.