Israel imeshika vichwa maboga, wanaokubali kuendelea kuwa watumwa wa akili na kila nyanja na hawa wamewambiwa watumwa wao eti wao waisrael ni taifa la mungu.
Katika miaka ya 1990 ilikuwepo biashara ya natafuta mali fulani, kisha anakuja mwingine nauza kisha anakuja tena mwingine anataka mali ile ile aliyo kuwambia wa kwanza natafuta kisha wapili nauza. Na hapo waliwahi kulia wengi kwa mchezo huu. Wengi walizungukiwa mnunuzi-muuzaji-mnunuzi-muuzaji...
Habari zenu wana jf, mwenye nayo vitz model 2000 nakuendelea no.b offer yangu 3.8m au no.c 5m ambayo iko safi body ndani no accident history. Vibali vyote vimelipiwa. Nitumie picha whatsapp_0784-355300.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.