Aslim Taslam
Member
- Nov 7, 2014
- 22
- 3
Israel imeshika vichwa maboga, wanaokubali kuendelea kuwa watumwa wa akili na kila nyanja na hawa wamewambiwa watumwa wao eti wao waisrael ni taifa la mungu.
Hata kama waki dhikiri uchi, huo ndio ukweli Waarabu hawawawezi Wa Israel...
Waarabu kinachowaangusha hawana umoja,halafu wanafiki,wamarekani walishawaweka mkononi,ndicho kinachowaponza,Umesaahau kipigo cha juzi kutoka kwa Wapestina wasio na silaha mpaka Israel wakadai usainiwe mkataba wa amani na kitu ambacho walikuwa wanakikataa?
Mimi ninacho fahamu ni kuwa mpaka hii leo Israel wanatawala Visiwa vya Uarabuni.
[/url]
Kudhikiri uchi ndio kufanya nini!
Nyie wakristo mbona mnapenda sana masuala ya Kukaa uchi?
Mpaka huyu PASTOR wa Kenya akaawamrisha wanakondoo wa kike kuwa WAKIJA KANISANI wasivae CHUPI ili yesu apate kuwaingia kilaini.
Gonga hapa uone mnavyopenda mambo ya UCHI UCHI!
Kenyan Pastor Bans Female Congregants From Wearing Underwear in Church
Hizi zingine sasa ni chai, yaani watu hawana silaha halafu wakashinda... Uwendawazimu ni fani...
Wakolosai hawaishi vituko. Haya sasa ashinde vita israel au Palestine weye kicheko/kilio. Ujinga mwingine wa ajabu kweli. Ni sawa na mmasai wa Oldonyo Sambu ashangilie/akasirike mpaka ugomvi wa kuuwana, kisa, simba/yanga imeshinda/imeshindwa. Ujinga mtupu.
Nadhani hakuna Wendawazimu km huu wa kufunga ndoa na Wanyama.
Hebu cheki huyu bibi harusi wa Kikristo!
View attachment 203622
Na hapa kondoo wanalishwa MAJANI Na PADRI
View attachment 203627
Na hapa kondoo anatolewa pepo KANISANI.
View attachment 203623
Kwanini watu hamtaki kukubali ukweli?kushindwa au kushindwa ndo cha msingi kujadili na siyo udini,hebu tujadili kuhusu hii vita bila kugusia udini
Nadhani hakuna Wendawazimu km huu wa kufunga ndoa na Wanyama.
Hebu cheki huyu bibi harusi wa Kikristo!
View attachment 203622
Na hapa kondoo wanalishwa MAJANI Na PADRI
View attachment 203627
Na hapa kondoo anatolewa pepo KANISANI.
View attachment 203623
Al majunun fununu... Uwendawazimu ni fani... Ni tabu kujadiliana na mtu anayeona uwendawazimu ni fani...
Akili za kushikiwa za kikorinto ni hatari sana. Mchungaji anaacha kufundisha ugalatia, badala yake anafundisha ujinga.
Teh teh teh!
Mkuu kwani UGALATIA na UJINGA ni vitu viwili tofauti?
View attachment 203632
Hata huyu bwana anashindwa kujitambua hapo juu!
Akili za kushikiwa za kikorinto ni hatari sana. Mchungaji anaacha kufundisha ugalatia, badala yake anafundisha ujinga.