Waziri wa kilimo yuko sawa, mkulima mwacheni auze anavyotaka ameonewa miaka mingi kufunga mipaka kunamkosesha thamani ya mazao yake huku wafanyabiashara wakinufaika na jasho la mkulima. Kilimo kwa sasa kinalipa. Bakini na Nape na Mwigulu🤪🤪
Mwambie mikutano ya vyama vya siasa sasa ruksa, watumishi wamepandishiwa mishahara na madaraja haki waliyokosa kwa kipindi chake chote, mwambie Mama ameupiga mwingi 🤸🤸
Hata Fei toto wakati anaigia Yanga hakuwa na kiwango kama cha sasa, mchezaji ataboresha kiwango chake kwa kujituma, kufuata maelekezo ya kocha, maslahi, mawasiliano na wachezaji wenzake na kupewa namba mara kwa mara.
Kwa maana hii tuache kukimbiza mwenge wa uhuru badala yake tukimbize jiwe la Tanzanait? Kwani watanzania wanaoishi vijijini hawaijui jiwe la Tanzanait, wakiliona wanaweza kugundua sehemu nyingine zaidi ya Mererani.
Kubali usikubali, mama anaupiga mwingi mfano Mbulu imeanza siku moja na Nairobi lakini hakuna Rais aliyeitambua Mbulu zaidi ya Mama, kwa mara ya kwanza Mbulu inapata Barbara ya lami ndefu sana ya km 25 TOKEA Tanzania izaliwe Halafu tukisema Mama ameupiga mwingi mnabisha pumbavu zenu🐕
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.