Mwanafunzi kutoka shule ya wasichana feza Rahma R Masele ameibuka mshindi kwa kuipeperusha bendela yetu ya Tanzania kwa kushinda kua best junnior debate speaker kwenye mashindano ya world scholars cup ambayo yalishilikisha shule kutoka mataifa i zaidi ya hamsini
Shule ya msingi ya Feza imefanya mashindano ya tatu ya mwaka kurusha tiara maarufu kama "3rd Annual Kite Day" ambapo wanafunzi, Walimu pamoja na wazazi waliweza kuja pamoja katika kufanikisha mchezo huo. Mashindano hayo yalifanyikmwisho wa wiki hiliyopita (picha) kushoto ni mkuu wa shule ya...
Shule ya secondari shamsiye boys inawakalibisha wanafunzi wanaotaka kujiunga na kidato cha kwanza muhula wa masomo kwa mwaka 2018 kutakuwa na interview kwa masomo ya sanyansi na hisabati terehe 09/9/2017 na 16/9/2017 kwa masomo ya sanyansi na Hisabati mawasiliano zaid 0712 252533
Wanafunzi wawili wa kitanzania kutoka Feza boys na indian school wakiwakirisha nchi yao kwenye mashindano ya mathematical olympiad (imo) yanayofanyika Janeiro Brazil karibu nchi 110 zikikishiliki kwenye mashindano hayo.
Feza Girls yaongoza kitaifa Matokeo ya kidato cha sita 2017
Kwa ufupi
Feza GirlsMarian BoysKisimiriAhmesMarian GirlsMzumbeSt Marry Mazinde JuuTabora BoysFeza Boys10.Kibaha
Zanzibar. Matokeo ya kidato cha sita kwa mwaka 2017 yametoka leo Jumamosi, Julai 15 huku shule ya Wasichana ya Feza...
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (watatu kushoto) akiwa kweny picha ya pamoja na washindi wa Medali za Dhahabu katika mashindano ya Kimataifa ya Mazingira na Sayansi yaliyo fanyika hiv karibun nchin Marekani.kushoto ni Mkurugezi wa Shule za feza Mr Ibrahim yunus kulia Mhe Hawa Ghasia anayefata...
Wakizingumza kwenye mdahalo Ulioandaliwa na taasisi ya kilimanjaro dialogue jana mmoja wa waafrika anayeishi marekan Bin-Butuakwa, alisema kuwa kungekuwepo na free visa kwa waafrika wanaishi nje ya nchi pindi wapohitaji kutembelea ndani ya Afrika maana wanarudi nyumbani kwao, kujifunza Tamaduni...
Wahitimu wa Shule Feza (Feza Alumni) wakijumuika katika Chakula na Michezo Mbalimbali kweny sikukuu ya Eid jana wakati walipowatembelea Watoto hao kituo cha Chakuwama hili kuwafariji Watoto. pia wahitimu hao walipata Fedha hizo kwa kuwapaka Hinna watu na kuhuza Ubuyu sehem mbalimbli hapa Nchin
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.