Pia historia inaonesha hakuna mtu aliweza kutawala kwa kutumia jeshi na polisi kwa muda mrefu endapo hatakuwa popular support ya wananchi .... kutawala kwa kutumia jeshi na polisi ni gharama sana
Mi nilijua tu wahuni watamchukua it's over sasa hivi hao huwa hawarudii mara mbili wakirudia mara mbili its over imeniuma sana Najua sasa hivi huyo mzee harudii tena ndo basi tena
Kaisairi hakikuwa cheo ni jina kingereza ceasar.... Rome walikuwa na emporer mtawala .. Rome iliwapata emporers wenye majina ya ceasar kama wawili hivi kama sijakosea... hope nimekusaidia next time usitumie neno kaisari kama cheo...
Nilisoma nae minaki mwaka 2011 hadi 2013 advance akiwa pale minaki boyz alikuwa akisoma egm kumbuka enzi hizo minak kama sio kichwa huji shule nzima tulikua tuna division 1 form 4 kwa hiyo micah kichwani zipo fuvu lipo so kuja tu pale enzi ili hashiria u r greateness
Tuendelee Alikuwa...
Tumekuwa zile nchi za kijinga tunazo somaga kwenye magazeti na very soon tabia ya kuto jibu hoja ya msingi na kukimbilia udini ... tunaenda kupigana vita ya udini muda sio mrefu... tusipoangalia tanzania itaachwa haina hata mia ....uchumi utayumba mno
Makamua wa Rais wa Tanzania (1964–2025) njia ya muongo fupi sana
Tanzania imekuwa na Makamu wa Rais mbalimbali tangu Muungano. Kwanza kulikuwa na Makamu wa Kwanza na Makamu wa Pili (1964–1995), kisha mfumo ukabadilika kuwa na Makamu mmoja tu.
Makamu wa Kwanza (waliowahi kuhudumu):
Karume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.