Napenda kuwashuku sana wale wote walionipa ushauri ama kunielekeza dawa ya maumivu ya nyonga nimefata ushauri niliopewa na sasa hali yangu imeimarika namshukuru mungu. Mbarikiwe. Ubarikiwe sana dada yangu @ faizafoxy kwa kujali tatizo langu. Ahsante
Doctor,
Mimi ni mama mwenye umri wa miaka 38 nimeolewa na nimejifungua mtoto wa kwanza nikiwa na umri wa miaka 29 na baada ya miaka saba nilijifungua mimba ya pili watoto wawili pacha.
Katika kipindi cha ujauzito nilianza kusumbuliwa na maumivu ya nyonga na mgongo hadi nikajifungua ile hali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.