Kwa siku kadhaa zilizopita, tumemshuhudia mheshimiwa mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo akichangia hoja bungeni. Hoja zake zimeibua hisia tofauti kati ya wengi kutokana na sababu mbalimbali.
Moja ya sababu hizo inaonekana ni mabadiliko ya ghafla ya mtazamo wake kiutendaji kabla na baada ya...
Najua sio mda sahihi wa kuyasema haya, hasa ukizingatia bado tungali kwenye maombolezo kitaifa.
Lakini pamoja na hayo yote natamani sana kumuona RC wa Simiyu akiwa katika nafasi mbili za juu zilizobaki za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Antony ni mbunifu, mwenye hekima na busara. Ana sifa...
Habari. Naitaji kama kuna mwenye taarifa za upatikanaji wa mashine za kutenganisha mchele na uchafu mwingine haswa mawe.
Naitaji kujua yafuatayo;
Kuna kampuni inayouza hizo mashine tanzania?
Gharama yake ipo kiasi gani?
Je kuna saiza za namna gani ya hizi mashine?
Naombeni msaada wenu wadau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.