Recent content by asawere

  1. asawere

    Natafuta kampuni ya uchimbaji visima

    Toa mawasiliano yako basi
  2. asawere

    Asawere

    Wakuu naomba anayeweza kujua gharama za kuchimba kisima kwa sasa anipatie info kamili...maeneo nayoka kuchimba kisima ni masaki-kisarawe mkoa wa pwani Natanguliza shukrani
  3. asawere

    Ujasiriamali: Nilime Mazao gani kwenye shamba hili?

    Wakuu habari zenu? Natumaini wote mu wazima wa afya....MImi nilikuwa naomba ushuri wenu, nina eneo kisarawe lenye ukubwa wa takribani eka kumi sasa kwa ukanda ule wa mkoa wa pwani mnaweza kunishauri nilime mazao gani ambayo yaweza kukubali na kunipa faida?Vilevile naweza fuga mifugo gani maeneo...
Back
Top Bottom