Recent content by Asantehene

  1. Asantehene

    JamiiForums Tanzania Rais Samia angeongoza kwa weledi nyumbani angeweza kushika nyadhifa kubwa duniani baada ya kumaliza awamu yake ya urais

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres anatarajiwa kumaliza muda wake kama Katibu Mkuu wa tisa aliyeliongoza Shirika la Umoja wa Mataifa kwa miongo miwili, hadi hapo Desemba 31 mwaka huu. Kama kawaida, siasa za chinichini zimekwishaanza za kumpata mrithi wake, huku mataifa kadhaa...
  2. Asantehene

    JamiiForums Tanzania Safaricom wanajali faragha kwa kuficha namba za anayetuma pesa

    Wakuu, Nimeona kampuni ya Safaricom wamekuja na mfumo mpya wa kuficha baadhi ya tarakimu kwenye namba za mtu anayetuma pesa, nadhani ni wazo zuri sana. Mfano, ukituma pesa, mpokeaji ataona namba kama 0754****00. Ikitokea ukitaka kujua namba nzima, wewe mpokeaji utalazimika kufoward huo muamala...
  3. Asantehene

    JamiiForums Tanzania Wafanyakazi wa Hoteli ya Lukuvi (GerWill) Waangua Vilio Vya Majonzi

    Wafanyakazi lazima walie.. kuna kutetea ugali hapo 😢
  4. Asantehene

    JamiiForums Tanzania Aliyetishia kumuua Lukuvi akamatwe na kuhojiwa

    Ukiambiwa utoe ushahidi wa "kumuua" utaweza?
  5. Asantehene

    JamiiForums Tanzania Rais wa Iran aziomba radhi nchi jirani walizoshambuliwa

    Unapotosha!
  6. Asantehene

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Tatizo la Wizi wa Mita za Maji na pendekezo kwa mamlaka husika

    Wakuu nimekutana na hii hoja, nimeona niiweke hapa iwafikie wadau wengi zaidi, na DAWASA kama wanaweza kujibu itakuwa vizuri zaidi. Majuzi tuliamka tukakuta mita yetu ya maji haipo. Cha kushangaza, mita tatu zilizo karibu hazikuguswa. Wazo la kwanza lililotujia ni kwamba huenda DAWASA wameitoa...
Back
Top Bottom