Recent content by ARUSO

  1. A

    Niliacha chuo mwaka wa tatu, je naweza kupata hata cheti?

    Niliacha chuo kikuu mwaka wa tatu kozi yenye miaka minne.Je kuna uwezekano nikapata hata cheti kwa miaka hiyo mitatu?
  2. A

    Unaweza kuumwa ngiri bila maumivu?

    Siumwi, nauliza tu nataka kujua.
  3. A

    Unaweza kuumwa ngiri bila maumivu?

    Eti inawezekana mtu ukawa na ugonjwa wa ngiri bila kuwa na maumivu yoyote?
  4. A

    Wapi wanauza mbegu za maboga?

    Kwa maeneo ya dar wapi wanauza mbegu za maboga? Bei zake pia zikoje?
  5. A

    Wakuu naombeni ushauri juu ya course ya Environmental Engineering

    Dogo UDOM wameanzisha EE 2016, Ardhi EE ipo tangu miaka ya 90. EE ya ardhi miaka 4, EE ya UDOM miaka 3. Vitu vingi UDOM hawasomi mfano mambo ya workshop hawana wale jamaa.
  6. A

    Wakuu naombeni ushauri juu ya course ya Environmental Engineering

    Poa karibu ardhi dogo. Nitumie namba zako PM .
  7. A

    Wakuu naombeni ushauri juu ya course ya Environmental Engineering

    EE , UDOM pia ipo, imeanzishwa tangu 2016, nenda ardhi ukasome EE achana na EE ya UDOM.
  8. A

    Wakuu naombeni ushauri juu ya course ya Environmental Engineering

    Civil zilipendwa asikudanganye mtu, vitu vingi anavyosoma Civil hata EE anasoma , na EE ni kozi kiraka hiyo sehemu yoyote unaajiriwa iwe hospitalini (As sanitation engineer), viwandani ,kwenye mambo ya ujenzi etc.
  9. A

    Wakuu naombeni ushauri juu ya course ya Environmental Engineering

    Pia kwa manufaa zaidi, ukisoma E.E unaweza ukaajiriwa kama 1)Surveyor 2)Water Engineer 3) Una uwezo wa kufanya baadhi ya kazi za civil engineer 4)Environmental Impact Assesment - Hakuna project kubwa yoyote mfano ujenzi wa barabara au majengo ambayo haimuhusishi Environmental Engineer. Yani...
Back
Top Bottom