Habari wadu,
Nilikuwa naomba kuuliza kuhusu ajira hizi za polisi nimefanikiwa kuomba lakini nikiingia kwenye view attachment nakuta vyeti vya mtu mwingine kabisa tofauti ya vyeti ambavyo nimeattach mimi alafu nikilog out nikaingia tena nakuta tena vimechange tofauti na nilivyoviona mwanzo
Dear Arthur
We are pleased to offer you a job as per heading above at Sonnabend Pediatric AIDS Foundation (SPAF). We believe that your experience and skills will be a valuable asset to our NGO.
If you are to accept this offer you will be eligible to the following in accordance to our NGO's...
Waungwana me ni muhitimu wa chuo kikuu cha mzumbe natafuta sehemu ya kufanya kazi kwa kujitolea nimesoma HUMAN RESOURCE MANAGEMENT DEGREE.
JINSIA -ME.
MIAKA -24.
Kwa mtu yoyote anaehitaji kununua vitu
1. Kitanda 5/6
2.godoro 5/6
3.vyombo vya ndani
4.gesi
5.shelf ya kuwekea nguo
Nipo iringa semtema. Bei ni 300,000 vyote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.