i am deadly pissed off kuna wakati ni afadhali uwe na akaunti facebook kuliko JF.
ina maana kweli watu nhawajui kwamba kila wilaya , huhusan za zamani zina ikulu ndogo, kwamba kila mkoa una Ikulu ndogo??
Hi argument no ya kifala Sana.
Ibada na Utalii ni vitu viwili tofauti Sana.
Unawezaji kulinganisha mtu aliyekesha nightclub na aliyekesha kanisani au msikitini!?
Uwe na akili basi yaani investment ya tshs 7billiobs tu ilete unafuu wa maisha kwa nchi. Kwani wewe unajua utalii unachangia a percentage ngap ktk uchumi!? Daah pole sana.
Royal tour ililenga ku boost utalii tu na imefanya hivo..... na wapo waliofaidika kwa nafasi zao ktk sekta hiyo
Dereva mmemficha wapi!??
Dereva aliyejua kuwa Lissu anafuatiliwa kwa miezi 3.
Dereva aliye gungua kuwa anafuatiliwa siku ya tukio!?
Dereva risasi zikipigwa
Huu upumbavu wa kudai katiba nsuo suluhisho utawaisha lin?
Niosheonyeshe nchi ambayo katiba ilivunja mipaka ya tamaduni..
Kule USA na RSA pamoja na kupata katiba biara wameondoa ubaguzi au ukabila kule Kenya?
Mamia kwa mamia kimahesabu ndio 100×100!??.(3digits×3digits maximum ni 999×999=998001)
Je Kuna mtaa bongo una nyumba 10000-998001?
Too much exaggerations
Acha kukariri. Sasa hayo ya ndoa yake na wanae kwenye katiba ya Sasa hamna?
Au kwa uelewa wenu kikosi kazi kinapaswa kukusanya maoni yale tu yanayotaka katiba mpya? Au hujui kama zaidi ya 97% ya katiba mpya yamo kwenye katiba ya zamani pia?
Hujui ulisemalo.
Unazungumzia uhuru gani wa Tume?
Hujui kama mpaka leo kuna watendaji wa Tume wako Poliei baada ya kukamatwa na Kura 20000 zilizpjpigiwa Odinga?
Hujui kama matokeo yale ni maamuzi binafsi ya mwenyekiti kwa sababu wajumbe 4 kati ya 7 wameyakataa matokeo?
Hujui kama mjumhe mmoja wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.