Mimi n kijana mpambanaji hapa Mjini! Na ata kuna threads nyingine za nyuma mlishanishauri na sasa ni vyema tu mambo yanaenda vizuri namshukuru Mungu! Kwa uwepo wenu na mawazo yenu
ila mimi leo nlikua naomba mnisaidie pia make najuaa hii n community kubwa na inawatu wazito pia ndani yake!
Mimi...
ila
ujue kwq nini m nlikua natka kujiwekea side hussle ni kwa sababu tu nimeona weng yan baada ya chuo mtaani n kugumu sio poa kk asee!
Yan mtaa hauna huruma so ndo maana nlitaka kufanya hivo yan ili ata nkimaliza niwe tayar nina bzness zang za kuniingizia kipato kk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.