Mkuu sikukukata Tamaa..
Wewe ulini motivate sana licha tumechoma sana Nauli Dodoma.
Ila Tusikate Tamaa.
Hapa nikuwa mtumishi mwema sema 2022 ulikuwa mwaka wa kipekeee ajira zili mwaga nyingii.
Nikawa naenda zote sikujalii kuchoma Nauli.
Mungu kajibu Kilio changu.
Sasa hivi stress Ajira sina...
Mkuu nikifuata Barua nitakuja kwa kutuliiia...
Nieleeeze kila kituu. Humuu.
Maana huu Uzi bado haujamaliza Mwaka ila ushuhuda watu wametooa wengi sana.
Mimi naye nimebahatikaa kupata..
Kikubwa tupambaneee
Guys nimepata Kazi...mimi Ndio muanzilishi wa huu Uzi sema Account ilipigwa BAN.
Ila tuendeleee kupambana.
Nimepata kaz bila connection.
Japo nilikandwa Taasisi kama 5 uko Nyuma.
Sikutegemeea kupata kazi.
Ila tupambaneni wadau Mungu Ni Wetu Sote.
issue nahisi ilianza kwny ule uzi wa Yule jamaa aliye pata ufaulu mzuri (alikuwa wa pili) lkn kada ya TA na akawa not selected...
nyiee mliletaga mad mule ika trend cku hiyohiyo nikala ban kwny ule uzi wangu wa pili
hapo uwaulize system administrator wa JF. maana nimepigwa ban bila warning yeyote.
hata ku changiaga mada naonaga jau.
nipo zangu nasubiriii Placement nilizo zipiga sahili zake mwez November na October[emoji28][emoji28]
Isije na hii account ikasepa pia
haya wakuu nimepiga Oral zote mbili narejeaaa home nipo Stand ya Nane8 naska gari la home..
asanteni kwa ushauri..
tusikiliziiie Placement sasa ambayo nahisi itatoka January.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.