Nimevuta picha tunavyochukuliwa sisi waamiaji daah, nimesoma hiyo post pamoja na kufatilia comment mmh ifike mda nirudi nyumbani pengine nitapata heshima ninayostahili
Kwann? Haswa tunachukuliwa ni kama ni watu haramu na hatuna tunachofanya ugenini Kama sio kuuza madawa na dili zilizo kinyume...
Experience
Ukimuomba M/Mungu mwaka huu anaweza akakujibu/akakupa baada ya miaka 10 na hata 15 anapoona yeye kuwa upo tayari kwa ulichokiomba kuwa upo vyema na utaweza kukitunza na kukilinda
Asante M/Mungu Kwa kila jambo nitaendelea kukutukuza daima kama nilivyofunzwa na walezi na wazazi...
Kwa nini? Usi pract kuliko kwenda kusoma maelezo yaliyoandikwa na binaadamu mwenzako pengine nayeye alikosea kuingiza kwenye mtandao taarifa sizizo sahihi
Au alipofanya uchunguzi yeye ilikuwa sahihi then process ya mdudu husika ilikuja kubadilika... haufikirii hivyo au hauoni wengine wanasema...
Tangu niliposafiri ndipo nimegundua huu utaratibu ni mzuri sanaa aisee
Nipo South Africa,
Nili stay kwa miaka 4 Bila kurudi nyumbani aisee nilikuwa naumwa kichwa kila siku yaani kwa mawazo na stress isitoshe kipato nilikuwa napata cha kawaida sanaa nilipoamua kujenga utaratibu wa kurudi...
Habari
Nipo na umri huo yaani mwezi huu ndio nimetimiza 30
Maisha yanaanza palee unapojitambua/unapopata akili timamu, haijalishi unaanza kujitambua ukiwa una umri gani? Hata ukiwa na miaka 5, 8,9 au 45 , 50 , 70 yaani palee unapoanza kujitambua ndio maisha yako yanapoanza maana utajua...
Shukrani Chief
Kiukweli naumia kichwa sanaa ila najua yote haya yataisha tu , SA unaweza ukawa na pesa na magari lakini amani ya kweli unaikosa
Polee na hongera mkuu pia asante Kwa kunipa ushuhuda wako
Bado nipo kwenye kifikiria na nimefikiria uber kwa wazo la kwanza coz kuna jamaa yangu...
Habari zenu
Naomba nielezee kiufupi
Nikisema sejayaelewa maisha ya huku naomba mnielewe hivi yaani sina furaha nayo na malengo yangu kiujumla kimaisha ya binafsi na kimaendeleo yangu yaani hayaendani na mipango yangu ya kuanzisha familia na maendeleo kimaisha kiujumla
Nilikuja huku miaka...
Kiufundi kabsa
Bundu ni ndege mwenye uwezo mkubwa wa kunusa au kupata harufu ya mzoga Kwa uweledi na umakini mkubwa bila kukosea
Na mwanaadamu kabla ya kukata roho yaani kabla ya kufa zinaanza kufa seli zake za mwili kwanza so mwanaadamu hapo anaanza kufa taratibu taratibu mpaka anapofikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.