Recent content by Arafat23

  1. Arafat23

    Barua ya Malcom X: Huko Makka Saudi Arabia

    Kwa ulichokiandika hapaaaa we unaonekana mpuuzi mara milioniii
  2. Arafat23

    Barua ya Malcom X: Huko Makka Saudi Arabia

    Mtu mzima unakosa baada ya kujibiwa hoja yako unaanza kuongea utopoloo [emoji3][emoji3] Ndo kawaida yenuu lakiniii
  3. Arafat23

    Barua ya Malcom X: Huko Makka Saudi Arabia

    Si hata waarabu tuu hata weusi wenzio unaeza kaa nao na wakakubagua vilevile, hata waarabu wapo wabaguzi ila dini ya mwenyezimungu haina ubaguzi
  4. Arafat23

    Barua ya Malcom X: Huko Makka Saudi Arabia

    Haswaaaa kama aliyoyavaa bwana Yesu na maaskofu wenu na papaaaa na viongozi wenu wa mgazi za juuu . Mdo yalikua mavazi ya mitume
  5. Arafat23

    Barua ya Malcom X: Huko Makka Saudi Arabia

    Kuongezea Quran inasema mtu bora kabisa mbrle ya mwenyezimungu ni yule mchamungu. Superiority mbele za Mungu ina rank kwa level yako ya uchamungu na sio rangi yako
  6. Arafat23

    Barua ya Malcom X: Huko Makka Saudi Arabia

    Hamna kitu kama hichoo kwenye uislam ndo maana mekwambia unaandika na kuamini usivovijuaa mzee. Usijiokotee kila kituu na kukiamini
  7. Arafat23

    Barua ya Malcom X: Huko Makka Saudi Arabia

    Bila shaka hujui unachokiongea
  8. Arafat23

    Je Ukinunua gari la Taasisi lililosamehewa kodi utapaswa kulipa?

    Haya maelezo sahihi ya kufata mkuu. Kisha chukua documents za gari nenda TRA kama uko dar nenda posta jengo la bandari floor ya saba utapigiwa hesabu zako vizuri kabisaa
  9. Arafat23

    Vijana wa kuhudumia banda la chips Kariakoo wanahitajika

    Nahitaji vijana wawili wazoefu wa kuchoma chips, eneo la kazi ni kariakoo sokoni. Kama uko tayari nicheki kwa namba 0652108415 Deadline kesho
  10. Arafat23

    Zingatia sana kama taa za Dashboard zinawaka kabla ya kuwasha gari lako

    Me yangu kunawakatii inawala check injini kuna wakati mwinginee haiwakii Nashindwaa kuelewa nini ni ninio
  11. Arafat23

    Naomba kujuzwa tofauti za injini katika Toyota HAarrier (4WD vs 2WD)

    Mtafte kichuguu muulize humu Naona watu wamekua kimya Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Arafat23

    Tanzania wamezembea kwenye swala la Corona

    Corona nyingine hiiii sasaaa Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Arafat23

    Uzi Maalum wa maswali na masuala mbalimbali yahusuyo Kodi, ushuru na masuala mengine yanayowahusu TRA

    Ili uweze kulipa kodi sawa na iliyo kwenye calculator hakikisha CIF yako haizidi ya kwenye calculator, maana sheria inasema ofisa achukue cif iliyo kubwa kati ya uliodeclare na iliyo kwenye calculator Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Arafat23

    Uzi Maalum wa maswali na masuala mbalimbali yahusuyo Kodi, ushuru na masuala mengine yanayowahusu TRA

    Hapo ulikosea timing mkuu wakati unaagiza gari yako ilikua haijafikisha miaka kumi ya uchakavuu,lakini wakati unafanya declaration tushaingia 2020,na uchakavu tayari ni zaidi ya miaka kumi ambapo wanakuchaji 30% ya uchakavu tofauti na 15% ikiwa gari halijazidi miaka kumi Sent using Jamii...
  15. Arafat23

    Hussein Bashe ni Mzigo, mtoe haraka vinginevyo abadilike

    Mbonaa una nyegee weweee Kwani biashara gani anafanya hadi gone matangazoo
Back
Top Bottom