Mungu yupo makaz yake kwenye jua jua halijawai kutembelewa na mtafit yoyote popote pale pasipofikiwa na mwanga wa nua hakuna mmea unaooa ni barafu au jangwa ishara yake ni moto rwjea kwenye biblia ukitaka kuonge nae fanya tob jisfishe muomba kupitia ndoto utasikia saut yame ikiongea na wewe
Laana yake ni mbaya sanaa damu ya asie na hatia haiend bure si umeona wanavyoanza kuuana wenyewe kwa wenyewe hata congo walimuu lumumba kinyama hakua na hatia damu yake haikwenda bure unaona wanavyouna
Mmoja anatumia nguvu mia akili kisoda mwingine anatumia nguvu kisoda akili mia
Israel na Marekani anatumia akili kubwa na nguvu kidogo matokeo makubwa.
Mpaka sasa vifo vingi ni Iran lakini mashambulizi mengi ni Iran pia ni kama anajipiga mwenyewe hivi yaani anaua mbu kwa nyundo kubwa kidoleni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.