Recent content by appoh

  1. appoh

    JamiiForums Tanzania Rio Ferdinand ashutumiwa Kwa kukubali kutumia michezo kuitakasa serikali dhalimu

    Jumba bovu mnataka kumuangushia rio maboko
  2. appoh

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa boss wangu ananitaka,nifanyaje?

    Chapa kitaalamu huwez kugundulika labda mimba ikuumbue
  3. appoh

    JamiiForums Tanzania Huu ndio Utabiri unaosubiriwa kutimia na walio wengi

    Uelewa wako mdogo kwenye ufuatiliaji hayo ni maneno aliyotamka polepole kabla hajatekwa alionya mambo mengi kua yatatokea kama vifo na nk bado hilo la watu kunyongwa
  4. appoh

    JamiiForums Tanzania Huu ndio Utabiri unaosubiriwa kutimia na walio wengi

    Sayans ya siasa inaona hayo yatatokea
  5. appoh

    JamiiForums Tanzania Huu ndio Utabiri unaosubiriwa kutimia na walio wengi

    Kuna watu watafungwa kuna watu watanyongwa kuna watu wataenda jela (polepole September 14 Jumatatu saa 3 usiku na dakika 20) Dalili zunaonesha muda sio mrefu hili litatimia kuanzia kwenye kelele za tume kua wahusika waadhiwe kwa haki na sio kutolewa kafara ukizingatia kesi ya ICC muda sio mrefu...
  6. appoh

    JamiiForums Tanzania Ogopa sana Binadamu, spirit ya MO29 iliniogopesha

    Kama hamza alikua na bunduki moja akasimamisha jiji siku nzima wakiwa na bunduki 200 si milele jiji litasimama
  7. appoh

    JamiiForums Tanzania Hivi hii Hali ni kwangu tu? Maana kuna muda kichwa kinapata moto

    Usiogope umr ni namba tu
  8. appoh

    JamiiForums Tanzania Kwa hili Tamasha la Miss Tanzania: Kuna wasanii wataenda kuwa Mabilionea

    Lamata atakulipa nini
  9. appoh

    JamiiForums Tanzania Kihongosi: Tunaona wenzetu wanapenda kuombaomba michango. Msiwachangie

    Wanaowachangia wataamua
  10. appoh

    JamiiForums Tanzania Bila Rais Samia kuwa Rais wetu hali ya Watanzania ingekuwa ngumu sana. Watu wangekuwa wanazungumza wenyewe barabarani kama vichaa

    Uzi wako umetazamwa mara 50 watu 22 wamecoment watu waliopunda ni watu 0
  11. appoh

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Prof. Lipumba ataka Serikali ya Mpito kusimamia Maridhiano na Katiba Mpya. Aikataa tume ya Chande

    Huo ndio ukwel suala halijapoa muuaji mtuhumiwa unamuongoza nan
  12. appoh

    JamiiForums Tanzania Nasumbuliwa na tumbo kujaa gesi, kutoa hewa chafu kila dakika na napata choo kigumu

    Njoo nikuuzie mti wa mtambaa 0712505049 elf 20 tu
Back
Top Bottom