Hutaki ulizia nyumba kwa nyumba mwenyewe kariakoo mwenye jengo anataka milion moja dalali analipa kodi mwaka mzima milion 12 alafu anapangisha yeye milion 3 kod ya mwaka milion 36 na mwaka ukiishia kod unampa dalal milio 36 anapeleka milion 12 kwa mwenye nyumba milion 24 anatia mfukon ganji yake...
Watawala walidhan anaenda kupigilia nyundo maevidensi ya oktoba 29 kumbe dogo kaenda kwa mishe zako za semina na vimeo vya hapa na pale tu baada ya kujiridhisha wakaona dogo hana madharaa
Chakula kikiingia kwenye mlango wa hewa (koo la hewa au trachea), hali hiyo kitaalamu inaitwa kukaba au asphyxiation. Hii hutokea kwa sababu njia ya chakula na njia ya hewa zinachepuka sehemu moja kooni, na vali ndogo iitwayo epiglottis isipofunga vizuri wakati wa kumeza, chakula huingia upande...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.