Uelewa wako mdogo kwenye ufuatiliaji hayo ni maneno aliyotamka polepole kabla hajatekwa alionya mambo mengi kua yatatokea kama vifo na nk bado hilo la watu kunyongwa
Kuna watu watafungwa kuna watu watanyongwa kuna watu wataenda jela (polepole September 14 Jumatatu saa 3 usiku na dakika 20)
Dalili zunaonesha muda sio mrefu hili litatimia kuanzia kwenye kelele za tume kua wahusika waadhiwe kwa haki na sio kutolewa kafara ukizingatia kesi ya ICC muda sio mrefu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.