Kinachoshangaza pale zaidi ni Yale mawe yalivyopangwa kitaaalamu,pili lili jiwe moja ni kama IST Moja Sasa huwa najiuliza walipandishaje hayo mawe vile? Basi wanadamu wa zamani walikuwa na nguvu sana.Tatu hakujawahi kutwa miili yoyote mule yaani wale mafarao,Sasa nadhani Kuna mambo mengi sana...
Siku zote kwenye simu yako unatakiwa uwe una Doctor mwana.Ishu kama hizi anakupa njugu Chapu before 72 hrs uepukane na Ngoma,Sasa we kwasasa anza kula vizuri na mbogamboga usiache na mazoezi kwa sana.
Hapo kwrny
Kwenye kinyesi sifahamu maana hata kama Kina mantiki basi ni mbolea nadhani,ila iyo zaga ni kwa ajili ya kutengeneza bandages na ngozi ni matumizi mbali mbali ila west Africa ni msosi pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.