Swala la Spiritual world ni la kiimani sio la kisayansi au kimantiki, sasa swala yupo au hayupo inategemea na imani,
Uwezi kuthibitisha kisayansi kwamba Mungu yupo.
Maana Mungu Ni Roho yohana 4:24
Hivyo ambao wamekuwa maskini ktk ulimwengu wa Roho wote wanaamini Mungu hayupo ila ambao ni...
Yani chadema bhana, muda mwingine hawaoni mbali, hivi wangesaini kanuni wangepungukiwa na nn? Maana walikuwa hawana shida na kanuni, maana muda sio mrefu watakoza kufanya siasa , kwa hoja ya kwamba wapisheni wanaoshiriki, mbili itisha baraza kuu, pitisha wale wale, ni kweli siku ya baraza kuu...
Gharama ya mabadiliko sio nyepesi, hii Risk ambao chadema imeifanya ....ni kubwa sana ....
1. Inaweza kuwaua kisiasa
2. Kuwainua kisiasa
Hata mbowe aliwai kufanya risk ya namna hii, alipompokea lowasa huku ni mtu ambaye alimtaja kwenye list of shame kama Fisadi hapa mzee silaa akakimbia...
Katika uhalisia!!
CCM ni ngumu kufanya Reform kwa muda huu mfupi, hata upinzani wanalifahamu.... hilo.....
Sasa Upinzani watapata nini?
1. Wamefanya mjadala wa siasa ubadilike ...katika siasa ukiweza kufanya watu kuwazungumzia ni Jambo kubwa sana, kwa kipindi kirefu upinzani ulikosa agenda...
Kanisa sio Rahisi Hivyo kama wengine wanavyofikiri, kuna wachungaji wengi wamechoka kuliko hao wachache mnawaona,
Yani wachungaji wengine ni choka mbaya kwa takwimu isiyo rasimi ..makanisa 100 yanaoanzishwa ni kama 7, yanabaki mengine yanakufa, ukimuona mwamposa unaweza ukadhani kaibuka ...
Hata mimi ningekuwa kagame ningesupppport M23. Yani serekali ya Congo haifanyi chochote cha maana kuondoa vikundi vya waasi cha mauaji ya 1994. Anachofanya kagame ndicho ambacho USA amefanya Iraq. Maana ukisema unaacha wanajippanga na kuja kukuondoa, kwa takwimu .....wahutu 80% .... 19%...
Ambacho haufahamu KP ni kibaraka wa Tanzania na M7. Maana wamepata mafunzo tz. Na msaada wa kijeshi kundoa serekali za kidemokrasia za kipindi hicho.... hivyo hawa ni watoto tuliowalea tujiulize tuliwalea vip
Ukweli mchungu, bila M23 kagame angekuwa ameshaondoka madaraka, maana waaasi wa kihutu wangekuwa wamejipanga, hivyo m23 ni kufanya wahutu wa 1994, wasipange....ila Ukweli ushauri wa Jk ni bora kuliko wote. Kagame anapaswa aongee na waasi wa kihutu . Na kongo itatulia...
Vita vya Congo ni gorriller war. Uwezi kumaliza kwa kupeleka jeshi bali kwa meza ya Mazungumzo..... maana Congo pia wanasupport waasi kihutu kupindua serekali ya RPF . Ndio maana Kikwete alimshauri kagame ukweli , akanunua...kukomesh ni meza ya Mazungumzo kati ya Rwanda na waasi wa kihutu, na...
Congo inapaswa kuwa tu na intelligence kubwa, m23 ni muunganiko wa vikundi 1000, si awafitinishe wao kwa wao, hakuna ufalme utasimama kama unavitinishwa
Nafikiri tuwe tunaweka ungalifu yani, mada hii tunajadili kwa rejea gani? Kama ni Sayansi twende kisayansi , kifalisafa iwe kifalisafa au kwa msingi wa imani..... maana kama hatuweki rejea nini? Hatuwezi kupata hitimisho, maana mwingine anasema mtu akuumbwa hiyo ni theory na mtu kuumbwa ni theory
Tumethibitisha kwa lugha nyepesi , Yesu kristo ni Mungu katika umbile la kibinaadamu...sasa swali lako liwe tuthibitishe kama Yesu kristo amewai kuwepo duniani...ila swala la Mungu tumefungua yupo ...ndio Yesu kristo kwa jinsi ya mwili
Nimejaribu kukuonesha kwa lugha nyepesi Mungu yupo, na amewai kuwepo kwa jinsi ya mwili,, emanuel.....Mungu pamoja nasi...sasa unaanza kubishana na ukweli....
Kama umeamua kuwa mjinga endelea kuwa mjinga.
Swali hili linauizwa sana!! Na ndugu wengi wa mahali hapa, kwa sisi wakristo ni swali jepesi ? Sana na wala hatuthibitishi kiroho tunaweza kuthibitisha kwa kisayansi na kihistoria.
Sisi kwetu Mungu sio fumbo, bali uhalisia katika maisha Yetu , kwa sababu ameshatupa mfano wake ,
Kwa wakristo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.