Recent content by apologies

  1. A

    Kama Mungu hayupo, maisha yana maana gani? Na kama yupo, kwanini Dunia inateseka hivi?

    Swala la Spiritual world ni la kiimani sio la kisayansi au kimantiki, sasa swala yupo au hayupo inategemea na imani, Uwezi kuthibitisha kisayansi kwamba Mungu yupo. Maana Mungu Ni Roho yohana 4:24 Hivyo ambao wamekuwa maskini ktk ulimwengu wa Roho wote wanaamini Mungu hayupo ila ambao ni...
  2. A

    PreGE2025 Msajili asitisha ruzuku CHADEMA, atishia kusimamisha shughuli za chama wakiendelea kukaidi na kuwatambua viongozi

    Yani chadema bhana, muda mwingine hawaoni mbali, hivi wangesaini kanuni wangepungukiwa na nn? Maana walikuwa hawana shida na kanuni, maana muda sio mrefu watakoza kufanya siasa , kwa hoja ya kwamba wapisheni wanaoshiriki, mbili itisha baraza kuu, pitisha wale wale, ni kweli siku ya baraza kuu...
  3. A

    Lawama zote za CHADEMA kutoshiriki Uchaguzi Mkuu atapewa John Mnyika kuliko hata aliyeshupalia 'No Reforms No Election'

    Gharama ya mabadiliko sio nyepesi, hii Risk ambao chadema imeifanya ....ni kubwa sana .... 1. Inaweza kuwaua kisiasa 2. Kuwainua kisiasa Hata mbowe aliwai kufanya risk ya namna hii, alipompokea lowasa huku ni mtu ambaye alimtaja kwenye list of shame kama Fisadi hapa mzee silaa akakimbia...
  4. A

    PreGE2025 CHADEMA hawajasema wanasusia uchaguzi, bali wanazuia uchaguzi bila Reforms

    Katika uhalisia!! CCM ni ngumu kufanya Reform kwa muda huu mfupi, hata upinzani wanalifahamu.... hilo..... Sasa Upinzani watapata nini? 1. Wamefanya mjadala wa siasa ubadilike ...katika siasa ukiweza kufanya watu kuwazungumzia ni Jambo kubwa sana, kwa kipindi kirefu upinzani ulikosa agenda...
  5. A

    Jamaa yàngu ndàni ya wiki Mbili kanunua Bajaji Kwa Pesa za uganga wa jadi WA mchongo, wateja wakiwa waomba Ajira

    Kanisa sio Rahisi Hivyo kama wengine wanavyofikiri, kuna wachungaji wengi wamechoka kuliko hao wachache mnawaona, Yani wachungaji wengine ni choka mbaya kwa takwimu isiyo rasimi ..makanisa 100 yanaoanzishwa ni kama 7, yanabaki mengine yanakufa, ukimuona mwamposa unaweza ukadhani kaibuka ...
  6. A

    Burundi yaongeza wanajeshi Kivu Kusini

    Hata mimi ningekuwa kagame ningesupppport M23. Yani serekali ya Congo haifanyi chochote cha maana kuondoa vikundi vya waasi cha mauaji ya 1994. Anachofanya kagame ndicho ambacho USA amefanya Iraq. Maana ukisema unaacha wanajippanga na kuja kukuondoa, kwa takwimu .....wahutu 80% .... 19%...
  7. A

    Ni muhimu mnoo sasa Tanzania kuingia vitani kuilinda DRC na kuwafurusha waasi wa M23.

    Ambacho haufahamu KP ni kibaraka wa Tanzania na M7. Maana wamepata mafunzo tz. Na msaada wa kijeshi kundoa serekali za kidemokrasia za kipindi hicho.... hivyo hawa ni watoto tuliowalea tujiulize tuliwalea vip
  8. A

    Kagame kawachana Marais wanafiki wa Afrika, hacheki na wowote

    Ukweli mchungu, bila M23 kagame angekuwa ameshaondoka madaraka, maana waaasi wa kihutu wangekuwa wamejipanga, hivyo m23 ni kufanya wahutu wa 1994, wasipange....ila Ukweli ushauri wa Jk ni bora kuliko wote. Kagame anapaswa aongee na waasi wa kihutu . Na kongo itatulia...
  9. A

    Kuna shida gani Tanzania ikitangaza rasmi kuisaidia Congo kupambana na M23? Tuna Viongozi wa namna gani?

    Vita vya Congo ni gorriller war. Uwezi kumaliza kwa kupeleka jeshi bali kwa meza ya Mazungumzo..... maana Congo pia wanasupport waasi kihutu kupindua serekali ya RPF . Ndio maana Kikwete alimshauri kagame ukweli , akanunua...kukomesh ni meza ya Mazungumzo kati ya Rwanda na waasi wa kihutu, na...
  10. A

    Waasi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanasema wamechukua mji muhimu wa Goma

    Congo inapaswa kuwa tu na intelligence kubwa, m23 ni muunganiko wa vikundi 1000, si awafitinishe wao kwa wao, hakuna ufalme utasimama kama unavitinishwa
  11. A

    Nadharia yangu namba 5 kwanini binadamu tumeumbwa duniani

    Nafikiri tuwe tunaweka ungalifu yani, mada hii tunajadili kwa rejea gani? Kama ni Sayansi twende kisayansi , kifalisafa iwe kifalisafa au kwa msingi wa imani..... maana kama hatuweki rejea nini? Hatuwezi kupata hitimisho, maana mwingine anasema mtu akuumbwa hiyo ni theory na mtu kuumbwa ni theory
  12. A

    Thibitisha Mungu kama Yupo?

    1 Wakorintho 14:38 Lakini mtu akiwa mjinga, na awe mjinga. Ila Mungu ajajificha yupo wazi , na a
  13. A

    Thibitisha Mungu kama Yupo?

    Tumethibitisha kwa lugha nyepesi , Yesu kristo ni Mungu katika umbile la kibinaadamu...sasa swali lako liwe tuthibitishe kama Yesu kristo amewai kuwepo duniani...ila swala la Mungu tumefungua yupo ...ndio Yesu kristo kwa jinsi ya mwili
  14. A

    Thibitisha Mungu kama Yupo?

    Nimejaribu kukuonesha kwa lugha nyepesi Mungu yupo, na amewai kuwepo kwa jinsi ya mwili,, emanuel.....Mungu pamoja nasi...sasa unaanza kubishana na ukweli.... Kama umeamua kuwa mjinga endelea kuwa mjinga.
  15. A

    Thibitisha Mungu kama Yupo?

    Swali hili linauizwa sana!! Na ndugu wengi wa mahali hapa, kwa sisi wakristo ni swali jepesi ? Sana na wala hatuthibitishi kiroho tunaweza kuthibitisha kwa kisayansi na kihistoria. Sisi kwetu Mungu sio fumbo, bali uhalisia katika maisha Yetu , kwa sababu ameshatupa mfano wake , Kwa wakristo...
Back
Top Bottom