Swali hili linauizwa sana!! Na ndugu wengi wa mahali hapa, kwa sisi wakristo ni swali jepesi ? Sana na wala hatuthibitishi kiroho tunaweza kuthibitisha kwa kisayansi na kihistoria.
Sisi kwetu Mungu sio fumbo, bali uhalisia katika maisha Yetu , kwa sababu ameshatupa mfano wake ,
Kwa wakristo...