Huwezi kwenda mbinguni kwa nguvu za giza..:mvutaji: Makamanda walipokosea ni kuchukua kibabu kigonjwa chenye uchu wa madaraka. teh teh teh! sijui kaungonjwa gani kale kenye dalili za kutetemeka mikono.....
Mkuu you are very right! kila sekunde kuna kiuzi kina zaliwa humu chenye kinogesho cha IPTL, siyo vibaya kama kitakuwa kinataarifa iliyoshiba lakini huyu nae sasa ana hoja gani? Nadhani kajifunza kitu kwenye coment yako.
Mimi sipo huko! Kwahiyo tujaze tetesi za kila kich@a humu Jf? Walete habari zenye mashiko, siyo ujinga wa hivi! Siyo lazima wote tupost wengine tunaweza kubaki kama wachangiaji au tukasoma na kupita tu.
Huu ni up-uzi na inaonyesha jinsi ulivyo mj!nga na mp^umbavu, tumia muda wako vizuri. Unajaza space tu kwa kuongeza vithread visivyo na kichwa wala kiuno.
Kwahiyo madai yenu ni yapi nyie kina Kafulila? Chenji au fedha ya escrow yote? Kama ni chenji imetoka wapi wakati kabla ya IPTL haijaanza kupokea hizo capacity charge na malipo mengine kulikuwa na hukumu ya ICSID ya mwaka 2001 iliyoshusha Capacity charge na IPTL walikubaliana nao ndio uzalishaji...
Kwahiyo IPTL wasilipwe sababu wewe umemezeshwa uchafu na wanasiasa wasaka tonge? Fedha ya escrow ni mali ya IPTL.
""What brings the transaction into question is the fact that at the time of the purported sale of shares, IPTL had power plants located in Tegeta, Dar es Salaam, worth millions of...
Acha kupanic sasa.
Umetumwa wewe kwa viposho vya kusukuma siku, unadharirika humu kwa visenti vidogo vidogo!!! tafuta kazi ufanye wewe acha kutumika. Kwahiyo wewe kuwepo hapa ever since ndio kunamaanisha nini sasa kilaza wewe? Kwa mchango gani unaotoa wenye maana humu kwenye jukwaa wewe mpaka...
Wewe fis! maji tulia! acha kuhemka. Kilaza wewe, na nimegundua utabaki kuwa kilaza mpaka jua liache kutoka. Akili zetu hazina akili, hatuna tofauti na aliyekutuma.
Ushauri wa bure. Kama mpo kwenye muendelezo wa propaganda iliyofadhiriwa na Mkono sawa lakini hakuna haja ya kuhukumu watu humu kuwa ni mafisadi na majina mengine mengi, kwanini sasa??, Hizi ni kampeni chafu tu , tusubiri hiyo tarehe 26/27/28 tujue mbivu na mbichi. Tuone kweli kale kajamaa...
Mnajitekenya tu na kucheka wenyewe!! Mnapanga matokeo kabla ya mechi kuanza, acheni uvivu wa fikra. Hamjui mnachokiongelea. Tumbiri atabaki kuwa tumbiri tu, that will never change subirini tarehe 26/27/28. maneno mengi yanini ???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.