Recent content by Aplus

  1. A

    Nimekuwa mtu wa kulia sana, nipo katika kipindi kigumu sana cha maisha

    Haupo peke yako sali sana, weka malengo, jitume.
  2. A

    Je, wajua jina lako ni Taarifa Binafsi? Fahamu na elewa maana ya Taarifa Binafsi

    Ahsante kwa elimu hii. Je najuaje taarifa zngu binafsi zipo salama na nawezaje kuziweka salama, na kama zimedukuliwa ni hatua zipi naweza kufata kuzuia tukio hilo na kupata haki yangu.
  3. A

    SoC04 Tenganisha Taka

    Awali ya yote nawashukuru JamiiForums kwa kutoa fursa hii ya kuwasilisha mawazo kwa ajili ya maendeleo ya taifa letu hususani kwa sisi vijana, ambapo tunapata nafasi ya kuwasilisha mawazo yetu. Si kila takataka ni takataka. Tunawezaje kujua hili, ni kwa kutenga takataka wakati wa ukusanyaji...
Back
Top Bottom