MWANANCHI:- 01/12/2016
Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Lawrence Mafuru ameeleza sakata la watumishi wa umma kuweka fedha kwenye akaunti ya muda maalumu (fixed deposit accounts), akisema si rahisi kwao kuiba fedha hizo kwa sababu miamala ya benki ni ya uwazi.
Kauli yake inatofautiana na...
Mmmmhhh...kwakweli mkulu ananitia shaka..Kila secta imekufa..Sasa ayo mandege ni ya nin.kama shule hazina walimu?hospitali hakuna dawa? Mazao hayana masoko? Umaskini uko juu? Kila mwez zinakusanywa tilioni..kumbe ni madeni ya nyuma...Duuuhhh...sizonje bhana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.