Recent content by apathy

  1. apathy

    KERO Walinzi SUMA JKT vituo vya SGR kukagua nguo binafsi wakati begi limeshakaguliwa na mashine si ustaarabu

    mimi nilifikiri watu wataungana nawe kukemea ujinga wa suma kumbe wengi akili mgando tu ,yani begi limepita kwenye scanner alafu linakaguliwa tena kwa kufunguliwa sasa kwenye scanner lilipita kupigwa picha ? ushamba
  2. apathy

    Wanaume njooni tufunguke

    Mimi nakumbuka mapenzi mara ya kwanza nilifanya na mwanadada anaida Anna mtoto wa Inyasi niko kidato cha pili mtoto wa kike yuko kidato cha kwanza nilihisi kudata na mtoto aliamia geto kama siku kadhaa kimyaa ila asee tuunge mkono NRNE
  3. apathy

    Kwa WANAUME unapenda mwanamke wa aina gani?

    mimi yeyote atakayenipendeza kwa wakati huo
  4. apathy

    KERO Kero ya vifusi barabara za Kondoa mjini

    hatimae leo vifusi vimesambazwa
  5. apathy

    KERO Kero ya vifusi barabara za Kondoa mjini

    Huku Kondoa mjini hapa kunao wakandarasi wamepewa kazi za barabara ila sasa ni wiki ya pili wamemwaga kifusi barabara za mtaani na wamemwaga katikati ya barabara mpaka pikipiki hazipiti inaleta kero sasa tumevumilia tumechoka kama hawawezi kuvisambaza kwa haraka wasimwage vifusi bila mpangilio
Back
Top Bottom