Ni vile tuu mnasahau emphasis iliyopo kwa watoto kutoka kwa wazazi siku hizi. Na bado miaka ijayo wafaulu hasa private watazidi kuongezeka.
Tuition wanasoma toka wakiwa nursery school wakati hapo nyuma tuition ni kipindi cha mtihani tena kwa kukaririshwa tuu.
Wazazi tuu wenyewe wa sasa wengi...
Sawa mmempa kuku mchele lakini achinjiki. Hata kwa risasi hachinjiki. Toa report ambayo mpaka sasa imeonesha waziwazi kuwa anaopambana nao muheshimiwa wanatoka cdm
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona povu linawatoka kulishauri hili jipu. Yaani Magufuli akamtoe
. Sasa mtu hujaomba ruhusa na issue ni kununua kifaa inahusiana vipi na safari zinazoongelewa hapa je Bandari ya DSM inapata hasara kama hiyo hiyo ya Tanga kwa sababu safari zisizo za lazima zimekatwaza? Kwani hicho cha mombasa...
Kwa mahesabu ya haraka haraka hata akihama na chadema yote "ingawa si rahisi " atakuwa amepunguza asilimia 0.000000000000001 % ya kura za EL watu wamejikita kwenye mabidiliko na sio siasa za kufuata viongozi
Mimi mbona naona ni ukikisho jamaa ccm chali. Toka lini mama Nyerere anampigia mgombea urais kampeni?
Tena ingekuwa la maana amuombe mama Magufuli amsamehe mumewe kuliko kumpigia kampeni magufuli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.