Recent content by Anti-Corona

  1. Anti-Corona

    Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19

    Watawala walio wengi hawajalitambua hili leo,wanajidanganya na majeshi yanayowalinda,na hakika CORONA ikichangamka ikaanza tafuna watoto na ndugu wa hao Askari Pengine na wao wenyewe na Uhakika Wananchi na Askari tutaongea lugha moja dhidi ya watala wabinafsi wasiojali usalama wa Raia #Muda...
  2. Anti-Corona

    Socialist Countries Zina Nafasi Kubwa Ya Kuishinda Vita ya CORONA Kuliko Democratic Countries

    Mfumo wao wa kutrack upo vizuri sana na ni timely hawana haja ya kutangaza majina sisi mfumo wetu wa kutrack bado ni poor na sio timely
  3. Anti-Corona

    Socialist Countries Zina Nafasi Kubwa Ya Kuishinda Vita ya CORONA Kuliko Democratic Countries

    Katika mwendelezo wa Vita ya kupambana na CORONA (COVID-19),inaonekana dhahiri kwamba nchi za Kidemocrasia (Democratic countries) zimelemewa mno na hili janga zikiongozwa na Marekani na Ulaya kwa Ujumla,tofauti na mitazamo ya wengi hapo mwanzo kwamba pengine China kama Epicenter ya mlipuko huu...
  4. Anti-Corona

    Kipi kinaendelea kwa nafasi za kazi zilozotangazwa na TRA kupitia utumishi

    Now wamenyanganywa rungu la kuajiri ajira zote lazima zipitie Utumishi ingekuwa ni kipindi cha nyuma ningeweza kubaliana na wewe hoja kubwa hapa ni kuhusu Utumishi kuchukua muda mrefu bila kutoa shortlist ya majina kwa ajiri ya interview kwan maombi yaishafanyika mwezi 1 na wiki Sasa.
  5. Anti-Corona

    Kipi kinaendelea kwa nafasi za kazi zilozotangazwa na TRA kupitia utumishi

    Duuuh sasa si bora wasitangaze waitane tuu kimyakimya
  6. Anti-Corona

    Kipi kinaendelea kwa nafasi za kazi zilozotangazwa na TRA kupitia utumishi

    Habari wanajamvi, kuna Nafasi takribani 18 zilitangazwa na UTUMISHI za mamlaka ya mapato TRA katikati ya mwezi wa pili mpaka sasa ni kama mwezi mmoja na wiki moja kuna hali ya ukimyaa ambapo sio kawaida ikachukua muda mrefu kiasi hiki bila watu angarau kuwa shortlist. Swali langu la msingi je...
Back
Top Bottom