Wadau kama kuna mtu yupo huko au anamfahamu aliepo huko naomba tafadhari aniunganishe kuna vitu nataka kuuliza!!!!!
Coz nimesikia wameitwa baadhi ya kada ila nyingine bado hawajaita
#Shukrani
Wasalaam
Natumai ni wazima wa afya
Tafadhari tupeane updates zozote kuhusu kuitwa kazini baada ya interview iliyofanyika ngorongoro February mwaka huu
Tuliambiwa baada ya wiki 2 lakini sasa tunaianza wiki ya 5,kama kuna muhusika yeyote huku jf Tafadhari tupeni updates kama nafasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.