KUITWA KAZINI-NGORONGORO

Anthorexa

Member
Feb 18, 2018
7
2
Wasalaam
Natumai ni wazima wa afya

Tafadhari tupeane updates zozote kuhusu kuitwa kazini baada ya interview iliyofanyika ngorongoro February mwaka huu

Tuliambiwa baada ya wiki 2 lakini sasa tunaianza wiki ya 5,kama kuna muhusika yeyote huku jf Tafadhari tupeni updates kama nafasi zimeshachukuliwa juu kwa juu tuambieni pia

[HASHTAG]#hoping[/HASHTAG] for + responses!!!
 
Wadau kama kuna mtu yupo huko au anamfahamu aliepo huko naomba tafadhari aniunganishe kuna vitu nataka kuuliza!!!!!

Coz nimesikia wameitwa baadhi ya kada ila nyingine bado hawajaita

[HASHTAG]#Shukrani[/HASHTAG]
 
Wadau kama kuna mtu yupo huko au anamfahamu aliepo huko naomba tafadhari aniunganishe kuna vitu nataka kuuliza!!!!!

Coz nimesikia wameitwa baadhi ya kada ila nyingine bado hawajaita

[HASHTAG]#Shukrani[/HASHTAG]
Mkuu si ungeuliza tù hapa na ungepata msaada wa haraka?
 
Wam
Wasalaam
Natumai ni wazima wa afya

Tafadhari tupeane updates zozote kuhusu kuitwa kazini baada ya interview iliyofanyika ngorongoro February mwaka huu

Tuliambiwa baada ya wiki 2 lakini sasa tunaianza wiki ya 5,kama kuna muhusika yeyote huku jf Tafadhari tupeni updates kama nafasi zimeshachukuliwa juu kwa juu tuambieni pia

[HASHTAG]#hoping[/HASHTAG] for + responses!!!
etumiwa sms ya kuitwa kazini kuanzia Jumatatu ya tarehe 13 yaani wiki ijayo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom