Anthorexa
Member
- Feb 18, 2018
- 7
- 2
Wasalaam
Natumai ni wazima wa afya
Tafadhari tupeane updates zozote kuhusu kuitwa kazini baada ya interview iliyofanyika ngorongoro February mwaka huu
Tuliambiwa baada ya wiki 2 lakini sasa tunaianza wiki ya 5,kama kuna muhusika yeyote huku jf Tafadhari tupeni updates kama nafasi zimeshachukuliwa juu kwa juu tuambieni pia
[HASHTAG]#hoping[/HASHTAG] for + responses!!!
Natumai ni wazima wa afya
Tafadhari tupeane updates zozote kuhusu kuitwa kazini baada ya interview iliyofanyika ngorongoro February mwaka huu
Tuliambiwa baada ya wiki 2 lakini sasa tunaianza wiki ya 5,kama kuna muhusika yeyote huku jf Tafadhari tupeni updates kama nafasi zimeshachukuliwa juu kwa juu tuambieni pia
[HASHTAG]#hoping[/HASHTAG] for + responses!!!