Recent content by Anonymous_Senior

  1. Anonymous_Senior

    JamiiForums Tanzania Kuishi Tabora inabidi uchague kati ya kushikamana na Imani yako vilivyo au uwe na waganga wa uhakika

    Ulifanya jambo gani la maana hiyo miaka 7 ulokaa?? Ulifanya kazi gani?? Mfano ulikuwa mwl ya primary watakuroga wanafunzi au Kama hujanunua hata baiskeli nani atadeal na ww
  2. Anonymous_Senior

    JamiiForums Tanzania Kuishi Tabora inabidi uchague kati ya kushikamana na Imani yako vilivyo au uwe na waganga wa uhakika

    Nina wenzio kama wewe watatu nawalea hapa home plus familia yangu
  3. Anonymous_Senior

    JamiiForums Tanzania Mbona wachina wanavuta Sana sigara ila hawapati Sana madhara kama kansa kama watu wengine

    Athari haziwezi kuwa sawa ukivita sigara za Tshs.100 na zile za bei mbaya viwango vya kimataifa bila kujali ni mchina au mTz
  4. Anonymous_Senior

    JamiiForums Tanzania Kuishi Tabora inabidi uchague kati ya kushikamana na Imani yako vilivyo au uwe na waganga wa uhakika

    Usil Nivyema ukaweka akiba ya maneno mkuu pia ni vyema kuheshimu kila mtu ususani humu mitandaoni kwakuwa hatujuani. Bt inshort chuo nilimalizaga 2018 Dsm
  5. Anonymous_Senior

    JamiiForums Tanzania Kuishi Tabora inabidi uchague kati ya kushikamana na Imani yako vilivyo au uwe na waganga wa uhakika

    Huko Kigoma ndio acha kabisa Kuna sehemu wanapaita Manyivu milimani huko mpakani na Burundi sio poa🔥🔥🔥 Bado sijataja Ujiji wasije wakanicheki kwenye Rada bure😂
  6. Anonymous_Senior

    JamiiForums Tanzania Kuishi Tabora inabidi uchague kati ya kushikamana na Imani yako vilivyo au uwe na waganga wa uhakika

    Ni Ni kweli ila point ya msingi hao wote wanaofanya vzr ktk biashara lazima moja kati ya hayo mawili niliyokutajia. Biashara inasiri kubwa sana bila kujali umefungua K.Koo au Tabora
  7. Anonymous_Senior

    JamiiForums Tanzania Kuishi Tabora inabidi uchague kati ya kushikamana na Imani yako vilivyo au uwe na waganga wa uhakika

    Tabora manispaa Nilikaa ipuli miezi 6 nikahama Nipo mitaa ya stendi mpya skuhz
  8. Anonymous_Senior

    JamiiForums Tanzania Kuishi Tabora inabidi uchague kati ya kushikamana na Imani yako vilivyo au uwe na waganga wa uhakika

    Ajabu naishi Tabora mjini hapa tena maeneo ya stendi ya mkoa kabsa Sipati picha huko wilayani urambo kaliua nk Issue ipo hivi ukikaa kaa tu bila kupiga hatua kila uchwao hakuna mtu anakusumbua duniani, mti wenye matunda ndio upogwa mawe mkuu
  9. Anonymous_Senior

    JamiiForums Tanzania Kuishi Tabora inabidi uchague kati ya kushikamana na Imani yako vilivyo au uwe na waganga wa uhakika

    Nipo mkoa huu takribani mwaka wa tatu huu, itoshe kusema huu mkoa ni balaa nikilinganisha na Dsm mkoa ambao nilizaliwa nikasoma hatua zote za elimu hapo. Huku ukijichanganya kutaka kufanya jambo lolote la maendeleo kazi unayo wanakula na wewe sahani moja mpaka utakubali. Ukipangiwa kazi huku...
  10. Anonymous_Senior

    JamiiForums Tanzania Katoliki imesimamia nchi. Wapewe maua yao

    Yale matamko yao na walaka ziliishiaga wapi?? Walizoea kuketa ujuaji mama hataki shobo no kupangiwa✍️😂😂😂
Back
Top Bottom