Pascle unatafuta uteuzi na hautaupata! WEW NI FUNGU LA KUKOSA. Warioba alikuita TBC utetee huo ujinga wako. Hatushangai kusikia ulitetea maana uliitwa na chombo cha umma utetee serikali, tena kwa kulipwa posho kwa mda wako.
Matter of fact; mbowe alikamatwa kwa maelekezo. TANGU LINI KUDAI KATIBA...
Dawa swrikali ifungu kijikuti chake anachokiita kanisa. Yule ni bwege kama hataki chanjo haachane nayo. Waziri mkuu amesema chanzo ni hiari kama hatak yeye haache, abaki na uboya wake uko
Tatizo no fahamu mdogo wa mtoa post. Vigezo vya ukuu wa chama cha upinzani ni kipi hapo ndo kipimo cha upeo wako.
1. Kura za uraisi japo zilichakachuliwa namba 2 alitoka chama gani na kula ngap dhidi ya vyama vingine vya upinzan
Hajui maana yake. Ingekuwa raisi hivyo mzee baba TRUMP na ebilionea wake angeanzisha yake baada ya hizo social media kumpiga BAN. Sio kazi nyepesi ya uwekezaji. Uliza google ndo atajua hasichokijua hicho
Huko akafuate nini Corona. Kuna nchi duniani ukiwa na hela yako ukipigwa BAN Kichwa kinauma sio Huo cjui hong kong cjui China. Mpango mzima ni USA mkuu. Wew hapo ulipo uambiwe marufuku US na mpunga unao utajisikiaje.usipime mkuu
Hofu yangu ni Idadi ya Wafamasia nchini je inaendana na idadi ya watu. Kwa maoni yangu wafamasia waliosajiliwa na wasio sajiliwa nchi ni wachache sana sheria lazima iangalie hilo. Kuna maeneo vijijin kupata famasi unatakiwa kusafiri kilometa 90
Madhara yake, chukulia waliowekewa ban ni maofisa wandamizi, HAWATARUSUWA KUINGIA MAREKANI KWA YAFUATAYO
1. Kufuatilia mikopo ya Benki ya dunia wala IMF
2. Mikutano ya Umoja wa Mataifa hawatakanyaga
3. Vipuli vya ndege zetu Boeling hawatakanyaga
4. Umoja wa Ulaya unamsikiliza sana USA. Nchi zote...
Atakuja Raisi mwingine yeye akiwa kibabu atampeleka mahakaman kwa ubadhilifu wa mali za umma akiwa ofsn. Ataondolewa Presidential immunity yaani kinga ya urahisi kama ilivyotokea kwa CHILUBA wa Zambia. Wiki iliyopita aliyekuwa Rais wa Malawi ambaye amepokelewa na huyu aliyekuja majuz kati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.