Chama Kikuu cha Upinzani nchini ni ACT- Wazalendo siyo CHADEMA

CCM mna tabia ya kujichagulia wabunge wa upinzani (Covid-19), kujichagulia chama cha upinzani (ACT na ADC - 2015-20 kule Zanzibar), kura za wagombea kupata kwenye uchaguzi (Magufuli - 12 mil na Lissu 1.3) nk nk. Ni kawaida yenu lkn kuna siku mtakwama kama bwana yule alivyokwama tarehe 17 March 2021.
 
Sasa hivi hakuna chama kikuu cha upinzani Tanzania kwa mjibu wa katiba yetu pendwa. Ndiyo maana huko bungeni hakuna kambi ya upinzani wala KUB!
 
Kiongozi naona umefanya majumlisho ya moja kwa moja kwa mtazamo wako bila kuweka ufafanuzi wa hoja yako.Labda ungeeleza kwanza nini maana ya chama kikuu cha upinzani nchini.
 
Tatizo no fahamu mdogo wa mtoa post. Vigezo vya ukuu wa chama cha upinzani ni kipi hapo ndo kipimo cha upeo wako.
1. Kura za uraisi japo zilichakachuliwa namba 2 alitoka chama gani na kula ngap dhidi ya vyama vingine vya upinzan
 
CHADEMA ni chama cha upinzani ambacho mpaka sasa hakitambui uchaguzi mkuu wa 2020 kwa kuwa haukuwa huru na haki. CCM chini ya jiwe kilipora haki za wananchi!
Simlisema mnavikaratasi vinavyooonesha kula fake , kwa nini msifungue mashitaka upya kama kweli mliiibiwa.
 
Etiii Uncle naskia kuna watu naskia wanarudishiwa faini walizo lipa mahakamani kwa sababu eti wanasema ile hukumu ilikua batili sijui umesikia hizo habari ...!!!??

Eti ni kweli jamani watu waongo mmmmh!!!!

Eti Uncle ni kweli hizi habari ... !!!???

Sasa Uncle kama nikweli sa'itakuwaje kwahiyo inamaana LEGACY ya yule itakuwa imengia DOA eti wanasema au ...


Elitwegeeeeeee!!! Umekua msemaji wa ACT ha ha ha ha haaaa

Wapi Bia Yetu ... salimia sana Magonjwa Mtambuka
 
Duniani huwezi kumkataza mtu kufikiria anachotaka kufikiria. Ila unaweza kujiepusha na mawazo potofu.
 
CCM huwa hawawezi kusoma documents.
Nini maana ya chama kikuu Cha upinzani kwa JMT?

Angalia kura za urais ni chama gani kilishika nafasi ya pili kwa wingi wa kura?...
 
Habari.

Ili kuweka mambo sawa kuhusiana na Siasa za nchi yetu, ifahamike kuwa chama kikuu cha upinzani hapa nchini baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ni ACT- Wazalendo inayoongozwa na Zito Kabwe na siyo CHADEMA inayoongozwa na Freeman Mbowe.

Bila kujua wafuasi wengi wa CHADEMA wamekuwa wakikitambulisha kama Chama Kikuu cha Upinzani nchini wakati siyo kweli. Hadhi ya CHADEMA kuwa Chama Kikuu cha Upinzani nchini ilikoma mwaka 2020 baada ya kushindwa kila mahali na kuambulia Mbunge mmoja tu.

ACT-Wazalendo ina Wabunge wengi kuliko CHADEMA kwa sasa.
Huachi ujinga? Haya sawa ACT ndiyo chama kifutu cha upinzani.
 
Mkuu boya, wakisema chama kikuu humaanisha idadi katika vyombo vya uwakilishi wa wananchi na idadi ya wanachama!!

Je ACT kwa Tanzania bara ni zaidi ya Chadema kwa vigezo hivo?? Kwa Zanzibat ACT-Wazalendo ndio chama kikuu cha upinzani. Ni kwa mtazamo huu umeitaja ACT-Wazalendo, ka sio vigezo hivi basi ungesema hata chama kile cha Cheyo ni chama kikuu cha upinzani!
 
Lini mnarudishiwa na akina Mdee?
Tukuulize wewe Kaka mkubwa, sisi kina Mdee hawatuhusu tulisha malizana nao kitambo tu mbona

Mmebaki nyie tu na katiba yenu ndio bado hamjamalizana sasa sijui mmekwama wapi naona mmeishia kupigana vijembe na kusimangana tu mjengoni

 
Back
Top Bottom