Wa kuchukuliwa hatua ni ww ambaye ujitambui, ulipotoka wala unapoenda wala family yako! Yeye mwenyewe anajua ameingia madarakan kimagumashi na polic wanajua walianzishe waone?
Iliyotumika kihalal utakuta ni bilion 2tu! ingine wanakula wajanja wa ccm!!! kila kitu kinachofanywa na hawa majanga wa ccm huwa ni mara mia ya bei iliyopo sokon.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.