Recent content by Annan

  1. A

    JamiiForums Tanzania Mwenye kujua jina la huu Wimbo

    Asante ndege JOHN. Mwimbo umetulia sana. Anamshukuru Mungu kwa Neema na rehema. Akichoka na matatizo, maumivu ya dunia Mungu anamwambia nipo na wewe siku zote za maisha yako. https://youtube.com/shorts/GfeMcXtwGNA?si=IxHy_WxAk6tkRrDh
  2. A

    JamiiForums Tanzania Mwenye kujua jina la huu Wimbo

    Mwenye kujua jina la huu mwimbo na jina la mwimbaji tafadhali nijulishe? Huu upo kwenye background wa hilo Tangazo. https://www.instagram.com/reel/DY5FyGRMbVY/?igsh=MWJlb214MWtxejZjbg==
  3. A

    JamiiForums Tanzania Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Funguka mwanangu madhara na faida yake kutokana na uzoefu wako.
  4. A

    JamiiForums Tanzania Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Hapo ndio kipengele kutofautisha aina za uyoga. Zipo aina nyingi sana za uyoga, zingine zina sumu, zingine ni mboga ya kawaida kama mchicha tu. Hii magic mushroom huwa inajiotea yenyewe sehemu nyingi tofauti. Tusaidiane kufanya research.
  5. A

    JamiiForums Tanzania Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Ndio nataka kufanya utafiti kuhusu huu uyoga. Wanatumia sana watu wa America ya kusini ni kilevi chao cha asili. Wanasema inaponya hadi magonjwa ya akili kama depression, anxiety hata kuacha pombe na madawa mengine. Ukitumia unaiona dunia kivingine kabisa. Unaenda deep sana, rangi nyingi...
  6. A

    JamiiForums Tanzania Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Hivi hiyo Magic mushroom inapatikana wapi hapa Tanzania. Inaonekana haina madhara halafu siyo illegal. Kwahiyo unaweza kuipanda nyumbani au shambani.
  7. A

    JamiiForums Tanzania RC Anthony Mtaka wanawake wanapenda uwasifie uongo. Usivuke Mstari watakuchukia sio muda

    Kuna wawanaume wengi wanampa mimba wanawake halafu wanakimbia. Wanawake wengi huwa hawakimbii watoto. Hata kama hawana pesa watajitahidi hivyohivyo kutunza, kulea, kuwatibu na kuwasomesha watoto kwa pesa hiyohiyo ya kuungaunga. Watapambana hata kuuza samaki, mchicha, vitumbua, maandazi, soda...
  8. A

    JamiiForums Tanzania Miliki apartment yako kwa bei za chini kabisa kabla ya tarehe 1 mwezi wa 3 mwaka huu. Nipigie uje site

    Wamiliki wa huu mradi ni nani, mradi upo wapi?
  9. A

    JamiiForums Tanzania Je una chumba, apartment au nyumba inayofaa kwa ajili ya Airbnb? Njoo tushirikiane

    Asante. Nitakutafuta tuzungumze.
  10. A

    JamiiForums Tanzania Kiongozi anasimama anasema foleni inasababishwa na magari machafu yasiyo na AC

    Wapunguze kodi lukuki ili watu waweze kumudu kununua magari ambayo siyo ya zamani sana.
  11. A

    JamiiForums Tanzania Je una chumba, apartment au nyumba inayofaa kwa ajili ya Airbnb? Njoo tushirikiane

    Umetoa maelezo mazuri. Ukiwa na wateja wengi mfano nyumba 100 -250 za kusimamia. Utawezaje kusimamia hizo zote ili kuhakikisha ubora na customer satisfaction?
  12. A

    JamiiForums Tanzania Je una chumba, apartment au nyumba inayofaa kwa ajili ya Airbnb? Njoo tushirikiane

    Wewe unachukua asilimia ngapi mteja anapopangisha? Mambo kama kukabidhi funguo, shuka mpya, usafi, toiletries anasimamia nani?
  13. A

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa Kigamboni

    Ipo kigamboni ya wapi? Kuna umbali kutoka magogoni au darajani? Mita ngapo kutoka baharini? Documents gani ulizonazo?
  14. A

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kanisa la FPCT latangaza mfungo wa siku tatu kuliombea Taifa kuelekea Uchaguzi Mkuu

    Naunga mkono hoja. Makanisa na misikiti yote ifanye hivi na kuongeza haya machache yafuatayo IBADA YA KULIOMBEA TAIFA Kuna njia nyingi za kuonyesha hatupendezwi na yanayoendelea nchini na kuombea muafaka wa kitaifa kwa kushiriki ibada maalum tunaweza kutenga saa, siku kadhaa kuliombea Taifa...
  15. A

    JamiiForums Tanzania Ibada ya kuliombea taifa

    IBADA YA KULIOMBEA TAIFA Kuna njia nyingi za kuonyesha hatupendezwi na yanayoendelea nchini na kuombea muafaka wa kitaifa kwa kushiriki ibada maalum tunaweza kutenga saa, siku kadhaa kuliombea Taifa. Hizi ibada, maombi dua maalum zinaweza kwenda pamoja na mfungo kila mtu kwa imani yake lakini...
Back
Top Bottom