Recent content by Annan

  1. A

    JamiiForums Tanzania Sijui Mwalimu Nyerere alikuwa akilenga nini kuruhusu watu kutoka Zanzibar kuwa na nafasi ya kuongoza Tanganyika

    Tatizo kubwa ni mtu Mwenyewe Samia akili yake, uwezo na upeo wake Nafikiri Hussein Mwinyi angekuwa ma unafuu mkubwa.
  2. A

    JamiiForums Tanzania Sijui Mwalimu Nyerere alikuwa akilenga nini kuruhusu watu kutoka Zanzibar kuwa na nafasi ya kuongoza Tanganyika

    Kutaaliwa na huyu muhuni, muuaji chinjachinja na genge lake ni sawa na kurudishwa zama za utumwa. Hana uchungu wowote na Tanganyika wala Watanganyika.
  3. A

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Waendelee kusema hakuna haki, tunavunja haki, lakini hakuna aliye juu ya sheria

    S Mbaya zaidi hajawahi kukemea hivi vitendo viovu zaidi ya kuviunga mkono. Alimwambia Museveni wananchi wanaodai haki tuwapige mikwaju, aliowaua 29/10/25 aliwalaumu wazazi wao. Tafsiri yake ni ruhusa polisi, kuwateka, kuwatesa, kuwapoteza, kuwaua wazalendo, wapigania haki wote wa Tanganyika...
  4. A

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Waendelee kusema hakuna haki, tunavunja haki, lakini hakuna aliye juu ya sheria

    Utekaji, utesaji, ufiraji, wizi wa chaguzi, kupoteza watu, mauaji aliyofanya 29/09 aliyafanya chini ya sheria gani?
  5. A

    JamiiForums Tanzania Samia: Vijana wanamezeshwa sumu kuchukia Serikali

    Samia ndio anatoa sumu karibu kila akiongea kwa kauli zake, vitendo vyake, teuzi zake, wizi, ufisadi, utekaji, utesaji, ufiraji, uuaji wake na kuwapoteza Watanganyika wanaodai haki zao. VIkundi vyake vya utekaji, kigaidi, alivyovitengeneza ndivyo vinatoa sumu kali inaweyoweza kuliangamiza hili...
  6. A

    JamiiForums Tanzania Balozi Sefue: Maandamano halali yana masharti, watu wanasema Polisi wameua watu lakini polisi hawakuamka tu wakaamua kuua

    Ni dhahiri hawa hawako kwa ajiri ya maslahi ya Taifa, bali maslahi binafsi, matumbo yao na familia zao, vyeo vyao. Watu wenye credibility hawawezi kutetea huu uhuni, mauaji yaliyofanyika.
  7. A

    JamiiForums Tanzania BBC Africa imeachia Documentary mpya kuhusu Tundu Lissu. Mke wake Lissu Alicia nae yumo

    Hao wote atawafukuza na kuhangaika hadi apate vilaza. Ona alivyohangaika kupata wakuu wa hizi taasisi vilaza usalama, polisi, makamu wa CCM, waziri mkuu, mwenezi wa chama, mawaziri, wabunge, wakuu wa mikoa, wilaya wakuu wa kurugenzi na taasisi zote muhimu na nyeti. Anachagua vilaza, au...
  8. A

    JamiiForums Tanzania Miaka 20 ya JF: Wana JF tujifunze kuvumiliana pale tunapopishana mawazo. Tupinge hoja kwa hoja, tuache matusi

    Angalia mabandiko yako uliyoji-quote hapo juu. Mengi ni 100% ya kichawa kama hili CHADEMA yakubali yaishe! yamtambua Rais, yampongeza Rais na mengine mengi tu kama haya. Huwezi kuamini mtu mwenye akili timamu anaweza kuandika upupu kama huu. Watu wanakosa cha kujadili, hakuna point hata moja...
  9. A

    JamiiForums Tanzania BBC Africa imeachia Documentary mpya kuhusu Tundu Lissu. Mke wake Lissu Alicia nae yumo

    Sio wadhauri wabaya, ni mifumo mibaya kama hii ya Muungano, katiba, bunge, chaguzi, uwazi,uwajibikaji na ukweli. Huyu Samia hakutakiwa kufika hata ngazi ya uwaziri, umakamu wa urais. Hakutakiwi kuja Tanganyika kuongoza.
  10. A

    JamiiForums Tanzania CCM ya Samia Suluhu Hassan ni dhaifu huo ndio ukweli. Chukieni lakini huo ndo ukweli

    Tanganyika haina mwakilishi kwenye ngazi zote za juu nchini kwasasa. Tanganyika haina mzalendo wa kupigania haki, maslahi ya Tanganyika. Wassira, Mwigulu na mawaziri wote wamekubali vyeo, pesa, umaarufu kusimamia maslahi ya Samia, Kikwete, Rostam, Zanzibar na genge lao kwa gharama za Tanganyika.
  11. A

    JamiiForums Tanzania CCM ya Samia Suluhu Hassan ni dhaifu huo ndio ukweli. Chukieni lakini huo ndo ukweli

    Tatizo hakuna cha kutetea, unatetea vipi ufisadi, utekaji, ufiraji,utesaji, mauaji. Kupoteza Watanganyika kwa maelfu, kuweka familia yako serikalini, kupeleka pesa nyingi za Tanzania Zanzibar bila uwiano sahihi, Kuchagua watu wa Zanzibar kuongoza mambo yasiyo ya Muungano ni kazi kubwa sana...
  12. A

    JamiiForums Tanzania Polisi: Changamoto hazitatuliwi kwa kurushiana Mawe, kufanya Vurugu bali kwa kukaaa pamoja, kuongea na kusahihisha kama Watanzania

    Mbona wanaliacha kundi la kigaidi litambe hadharani. Nani yupo nyuma ya hili kundi la mbwa mwitu, Mwaipopo anasema ana vijana 38,000 wako tayari kufanya vurugu. Msemaji wa Polisi yupo kimya kuhusu haya magaidi.
  13. A

    JamiiForums Tanzania Wicknell Chivayo kuwekeza takriban Tsh. Bilioni 500 Ngongoro na Serengeti

    Here you go.
  14. A

    JamiiForums Tanzania Katibu mwenezi taifa CCM Kenan Kihongosi anatarajiwa kufanya ziara mkoa wa Pwani.

    Mikutano ya kisiasa si imepigwa marufuku na Katambi kwa vyama vyote?
  15. A

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Ukikopa, fedha zinakuwa sio za aliyekukopesha zinakuwa za kwako. Mkiona tunakopa mjue tunakopesheka

    Inategemea na masharti ya mkopo. Ukichukua mkopo na kushindwa kulipa marejesho, ulichoweka rehani kinachukuliwa na kupigwa mnada. Sisi kama taifa tumeweka rehani nini? Tumeweka rehani Mbuga, madini, misitu, ardhi, bandari, viwanja vya ndege?
Back
Top Bottom