CHADEMA katika masuala ya TEHAMA bado wako nyuma sana.
Wanatakiwa kujitafakari na kuweka vizuri mambo.
Siasa inahitaji maandalizi mazuri na sio kumtangazia vita mshindani wako bila kujua amejipangaje.
Kampeni huambatana na propaganda. Wanaoichafua Serikali ni wengi. Serikali ya awamu ya tano iko imara na Rais Magufuli atashinda uchaguzi kwa awamu ya pili. Mafaniko makubwa na yenye tija yanaonekana.
Imeandikwa "Usimshuhudie jirani yako uongo." Umekuja katika uwanja huu ukiwa na hoja 6 ambazo hazina mashiko. Tutaendelea kuongea ukweli daima.
Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo na upendo wa Mungu ukae nawe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.