Recent content by angomwile

  1. angomwile

    Kuzaliana kunamsaidia nini kiumbe anayezaa?

    N Na mjusi akizaa mtoto anapata faida gani?
  2. angomwile

    Makinika na mijusi wa ndani ya nyumba!

    Nilishadhitibitisha Kwa kupima DNA!
  3. angomwile

    Makinika na mijusi wa ndani ya nyumba!

    Kamini kitu bila ya uthibitisho ni upuuzi!
  4. angomwile

    Makinika na mijusi wa ndani ya nyumba!

    Bado unaendeleza habari zisizo na uthibitisho! Huo ufunuo umethibitisha Vipi kuhusu uwepo wa uchawi kama sio unanukuu tu kilichoandikwa! Kitovu kinaingiliana Vipi na kuwepo Kwa uchawi ,ukitizama vizuri hoja zako zote zimelalia kwenye mambo ya kufikirika!
  5. angomwile

    Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

    Kwahiyo kutokujua Hayo ndio inatulazimu kuabudu na kubuni buni mambo?
  6. angomwile

    Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

    Hivi unajua kwanini watu wanapinga dhana ya uwepo wa Mungu?
  7. angomwile

    Makinika na mijusi wa ndani ya nyumba!

    Imani za kishirikina zimetamalaki! Kama usipokuwa makini kila kitu utaona kina uchawi! Hebu Kwanza kabla ya kuendelea kujadili hili swala,unaweza kudhibitisha uchawi upo bila ya Shaka yeyote?
  8. angomwile

    Ni aibu gani uliwahi pata na hutokuja kuisahau?

    Wewe Ni mjinga wa mwisho kwanini kitu kama huelewi usiulize Kwanza?kwani ungeuliza na kupata maelekezo ungepungua Nini?ona sasa ulikunywa limao 😁
  9. angomwile

    Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

    Mimi ndio maana kitambo Sana nilishapiga chini huu upuuzi wa kuitwa Dini sijui na maujinga jinga mengine😁 kufuatilia dini inatakiwa ujitoe ufahamu !
  10. angomwile

    Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

    Mchanganyo wa Quran unaanzia pale aliposhushiwa Muhammad ili aje atusambazie Dunia nzima! Harafu humohumo kwenye Quran imeandikwa Kwa kumsifia Mungu Ni mwenye haki na usawa asiye na ubaguzi right?sasa ilikuwaje ampe mtu mmoja habari muhimu kama hizi za kumjua yeye na Sheria zake ili aje...
Back
Top Bottom