Recent content by angomwile

  1. angomwile

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Mpaka Sasa nimeshindwa kupata nyimbo za tam tam shangingi la karne na mjomba njaa
  2. angomwile

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Mkuu samahani unaweza kuwa na nyimbo za album ya mgumba African revolution band na Ile ya maisha kitendawili
  3. angomwile

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Jamani mwenye nyimbo za african revolution tam tam mjomba njaa, shangingi la karne na zile za mchinga sound anisaidie
  4. angomwile

    JamiiForums Tanzania Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

    Ndugu yangu hapo kwenye red unaposema tumepata uhai bure unamaanisha nn? Hivi naomba nikuulize, Kati ya alieumba na muumbwaji ni nani alikuwa na uhitaji wa mwenzie kiasi kwamba uniambie uhai nimepewa bure! Kwani mimi ndie nilipanga nipewe huo uhai? Aliyeumba ndie alipanga iwe hivyo! Paragraph...
  5. angomwile

    JamiiForums Tanzania Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

    Alfu Lela ulela, Ndugu yangu kuzaliwa binadamu au mbwa sio issue, huenda hata mbwa nae anashukuru kuzaliwa mbwa na sio binadamu! Je unaweza kuthibitisha hayo Madai yako kuwa Kuna watu huongea na huyo mungu? Unajua je? Kwanini iwe baadhi? Mungu mbaguzi? Kwani tukikubali kuwa hatujui lolote kuhusu...
  6. angomwile

    JamiiForums Tanzania Labda ni dini zetu ndio zinazotuchanganya na kupotosha kuhusu Mungu

    Na mkristo nae anasema dini ni moja tu ukristo! Na budha nae anasema dini ni moja tu ubudha! Kuna mamia ya dini hapa duniani kila mmoja anadai upande wake ndio sahihi! Kiufupi masuala ya dini ni kama kubeti! 😂😂
  7. angomwile

    JamiiForums Tanzania Mungu na Allah mbona wana itikadi tofauti? Je, ni wamoja au pande mbili zinazokinzana?

    Wewe umejuaje kuwa Mungu ni mmoja?
  8. angomwile

    JamiiForums Tanzania Mungu na Allah mbona wana itikadi tofauti? Je, ni wamoja au pande mbili zinazokinzana?

    Hili swali lako Lina mlengo gani au Lina uhusiano gani na swali tajwa hapo juu?
  9. angomwile

    JamiiForums Tanzania Hivi kazi ya MUNGU ni nini? Au kazi alimaliza Toka ile siku ya sita ya uumbaji wake?

    😂😂Umekimbia mjadala Ila nikwambie tu busara kitu kama hujui unasema kuwa sijui sio kuzunguka zunguka unapoteza muda! Na hapo nitakushangaa zaidi kwa kuamini kitu hukijui na wala huwezi kuelezea!
  10. angomwile

    JamiiForums Tanzania Hivi kazi ya MUNGU ni nini? Au kazi alimaliza Toka ile siku ya sita ya uumbaji wake?

    Kwanini hutaki kunijuza ili na mimi nimuamini mungu? Si huko Kwenye ibada mnahimizana kuelimisha wengine ili wamuamini mungu?
  11. angomwile

    JamiiForums Tanzania Hivi kazi ya MUNGU ni nini? Au kazi alimaliza Toka ile siku ya sita ya uumbaji wake?

    Kero yangu ni kwamba umeshindwa kunidhibitishia ni kwa jinsi gani ulipewa free will? Huku ukijihakikishia na kuhitimisha kuwa ni kweli ulipewa free will harafu unakimbia mjadala kwa kukwepa kunijibu!
  12. angomwile

    JamiiForums Tanzania Hivi kazi ya MUNGU ni nini? Au kazi alimaliza Toka ile siku ya sita ya uumbaji wake?

    Kubali tu hujui chochote Ndugu unafuata mkumbo na uoga usio na maana hata kama unaona wazi kuwa umeingizwa chaka Kwenye kuamini kwako! Na unakimbia mjadala😂😂
  13. angomwile

    JamiiForums Tanzania Hivi kazi ya MUNGU ni nini? Au kazi alimaliza Toka ile siku ya sita ya uumbaji wake?

    Mimi siamini chochote! Nahitaji unielimishe ili na mimi niamini! Sasa turudi kwenye swali langu la msingi nahitaji majibu
  14. angomwile

    JamiiForums Tanzania Hivi kazi ya MUNGU ni nini? Au kazi alimaliza Toka ile siku ya sita ya uumbaji wake?

    Makosa yake yake mwenyewe kivipi?
Back
Top Bottom