Bado unaendeleza habari zisizo na uthibitisho! Huo ufunuo umethibitisha Vipi kuhusu uwepo wa uchawi kama sio unanukuu tu kilichoandikwa! Kitovu kinaingiliana Vipi na kuwepo Kwa uchawi ,ukitizama vizuri hoja zako zote zimelalia kwenye mambo ya kufikirika!
Imani za kishirikina zimetamalaki! Kama usipokuwa makini kila kitu utaona kina uchawi! Hebu Kwanza kabla ya kuendelea kujadili hili swala,unaweza kudhibitisha uchawi upo bila ya Shaka yeyote?
Mchanganyo wa Quran unaanzia pale aliposhushiwa Muhammad ili aje atusambazie Dunia nzima! Harafu humohumo kwenye Quran imeandikwa Kwa kumsifia Mungu Ni mwenye haki na usawa asiye na ubaguzi right?sasa ilikuwaje ampe mtu mmoja habari muhimu kama hizi za kumjua yeye na Sheria zake ili aje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.