Recent content by angelstars

  1. A

    Dawa bora na sahihi ya kuondoa rashes uson

    Tafuta sabuni ya mchele au ukwaju original Sent using Jamii Forums mobile app
  2. A

    Je, kujichubua ni dhambi?

    Basi kuvaa nguo ,kutoga masikio,kupakanmafuta ya kusoftisha,kukata kucha,kukata nywele nayo ni dhambi mana tunaenda kinyume na uumbaji Sent using Jamii Forums mobile app
  3. A

    USHAURI: Tubadili mfumo wa viti maalum, vifutwe!

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  4. A

    Registration SUA

    Asante mkuu
  5. A

    Registration SUA

    Nimekuelewa mkuu
  6. A

    Registration SUA

    Ndiyo wamenipa reference no,,,na ukilipia kwa njia ya m-pesa,kabla ya kuweka hiyo reference no si wanakwambia uweke kwanza no ya kampuni??? [emoji53]
  7. A

    Registration SUA

    Kwa njia ya simu???
  8. A

    Registration SUA

    Food sciencek
  9. A

    Registration SUA

    Habari, jamani kwa wale waliyofabya registration SUA for bachelor degree nahitaji msada wenu, Nimekwama kwenye malipo kwa njia ya simu,wamenitumia kumbukumbu no/reference no lakin hawajanitumia no ya kampuni,,,nimeangalia kwenye website yao lakini hamna kitu [emoji15] na nimewatumia email...
  10. A

    Application D.I.T

    Habari ndugu, Nimefanya application DIT kwaajili ya kujiunga degree mwaka huu, lakini nilikosea nilichagua mwanza campus badala ya dar-es-salaaam campus,,,,na ukweki ni kuwa mwanza campus hawatoi degree Sasa naomba mnijuze jinsi ya kubadilisha kwa maana sioni hiyo option kwenye system yao,,na...
  11. A

    USHAURI: Tubadili mfumo wa viti maalum, vifutwe!

    Habari wapendwa Husika na kichwa cha habari hapo juu,kuna kitu kinanitatiza sana. Naomba kujua hao wabunge wa viti maalamu wanachaguliwa kwa kuangalia vigezo vipi?Nimeingia kwenye page ya lemutuz,kuna post kasema kuwa kuwachagua ma DC wameangalia elimu(ya degree),uaminifu na uchapakazi,,sasa...
Back
Top Bottom