umefanya vema sana..na ninafikiri ni wanaume wachache wenye roho km yako inapotokea kesi kama hii.
i wish ningekuwa na moyo kama wako ili niweze iludisha familia yangu.
mungu akuludishie furaha ya ndoa.
asante saana mkuu kwa somo zuri..hakika limenifundisha sana.ninalifanyia kazi kuanzia sasa na siku zote sitawalalamikia wazazi kwa lolote maisha mazuri yapo mikonon mwangu.
barikiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.