Habari,
Naomba msaada wa kimawazo, Boss wangu hataki kunipa mkataba wa Ajira ijapokua nafanya kazi kwa sasa nina mwaka na miezi mitatu, la kila siku nikimkumbusha anaahidi uongo.
Ni company private. Nataka kuchukua maamuzi ya kuacha kuja kazini hadi pale atakapo nipatia mkataba huo.
Ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.