Recent content by Andunje Mdogo

  1. A

    BBC watafakari mkataba wao na Star tv ili kuwatendea haki watazamaji wa BBC Swahili

    Raaaah,watanzania mbona tunaparurana wenyewe wakati wote wajeruhiwa,sasa nani aanze kumfunga mwenzake kidonda
  2. A

    Mtuhumiwa wa ulipuaji mabomu Arusha auawa na Polisi akijaribu kutoroka

    Hivi ukiwa muislamu ndo uachiwe uwe unafanya mauaji kwa watu wasiokuwa na hatia,halafu usimtete muhalifu kwa sababu tu ni muislamu,uliza Boko haram wanafanya nini Nigeria,halafu uliza je wale wanaouwawa ni wakristo tu au wengine wanauawa
  3. A

    Tukumbuke majina ya utani kwa walimu shule tulikotoka

    Mwalimu Rambo,biology Arusha Sec form III 1997
  4. A

    Eti huyu ni kocha wa timu gani vile?

    Lipulo Kangwande FC
  5. A

    Juma na mwalimu!

    Hamnazo maana yake unanambo mengi mpaka mengine yanamwagika
  6. A

    wahaya na vyeo vya misifa

    Kweli ww dudu pori,
  7. A

    Juma na mwalimu!

    Kweli ww hamnazo,sasa kulamba nini Red Scorpion
  8. A

    Tunaungana kumtaka Prof. Tibaijuka agombee urais

    Naona wote humu ndani mnataka kutoana ngeu za bure wakati mama anakula zake posho za bunge la katiba,ngoja nimpigie ili awatambue na kuwakatia japo 200,000 ili,mkanywe supu
  9. A

    Mama mjamzito aketi akionyesha mwanawe uchi wake na hana chupi

    Bia za jana bado zinazunguka kichwani,tehe tehe
  10. A

    Naibu spika Ndugai adai waziri mkuu Pinda hana sifa za uraisi

    Je yeye ana vigezo gani vya kumfikia Pinda,au ndo kusema sokwe halioni komwe lake ila analiona la mwenzake na kuanza kumnanga,uhm uhm uhm
  11. A

    Naibu spika Ndugai adai waziri mkuu Pinda hana sifa za uraisi

    Wewe inaelekea unataka ukuu wa wilaya,piga chepuo inawezekana prezidaa atakuona
  12. A

    Misemo ya mitaani

    Mkubwa hakombi mboga
  13. A

    Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    Ni sheeeeedah,ama kweli!!!!ni sawa pata pesa tujue tabia yako
  14. A

    Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    Nimeipenda hii,IS COME IS GO"maana yake nini,sijui kingereza sana ila ninavyodhani Easy come easy go!!!kama nimekosea nisahihisheni wana jukwaa
Back
Top Bottom