Recent content by Andreonic

  1. A

    JamiiForums Tanzania Rais Samia mpaka sasa hajaonekana Bungeni ili alivunje Bunge la 12, kuna nini?

    Anafanya "trimming" na kesi ya Lissu, ili mradi tu Lissu asisikike. Subiri magazeti ya kesho na taarifa za habari, utapata jibu
  2. A

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Afrika kutoa uamuzi, uchaguzi wa mwaka 2020

    Hii hukumu nimeisoma mara kadhaa, kakini sijaewa, labda kama kuna wanasheria wanaoweza kutufafanulia vuzuri
  3. A

    JamiiForums Tanzania Ni kipi kinawazuia watanzania kuongea siasa hadharani kama wanavyobishana kuhusu mpira?

    Sababu kubwa ni vyombo vyetu vya habari. Kwa mfano leo, badala ya Television na radio zetu kuonyesha na kutangaza habari kubwa ya kesi dhidi ya kiongozi wa chama kikuu cha upinzani wao wanatangaza habari za Simba na Yanga. Ni aibu kwa kweli.
  4. A

    JamiiForums Tanzania Umejifunza nini kuhusu orodha hii!

    Duuh
  5. A

    JamiiForums Tanzania Umejifunza nini kuhusu orodha hii!

    Wanawake wameumbwa wakiwa na nguvu mwilini ya kutunza watoto. Inapotokea njaa au magonjwa wana uwezo mkubwa wa kuvunilia. Kwa upande mwingine wanaume tunafanya kazi ngumu sana maishani. Vita, zege, kufikiri sana. Nawashangaa wanawake wanataka 50/50
  6. A

    JamiiForums Tanzania Umejifunza nini kuhusu orodha hii!

    Unafikiri ni rahisi 'kibibi' kuolewa?
  7. A

    JamiiForums Tanzania Je, leo ni uhuru wa Tanzania Bara au Tanganyika?

    Huu ni upotoshaji mkubwa sana. Nia ni kupoteza historia na uzalendo wa Tanganyika. Si unaona wanavyoahirisha sherehe za maadhimisho?
Back
Top Bottom