Takukuru walitangaza ajira na wameshafanya michakato yao yote wamemaliza, walianza na Aplitude test na wakatoa majibu yaani maksi, kisha wakakata majina watu waliotwa makao makuu kwa ajili ya oral interview na kisha juzi juzi wametoa matokeo, ila cha kushangaza nimekuwa nikifanya uchunguzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.