Recent content by Anatomist

  1. A

    Niulize chochote kuhusu Bachelor of Clinical Medicine and Surgery (BCMS)

    Karibu sana.Tuko wengi mbona,wewe umemaliza mwaka Jana ,wapo waliomaliza tangu mwaka 2011. PM namba yako nikuunganishe na group letu la WHATSAAP
  2. A

    Ni kweli Luteni Urio alitoa taarifa ya tukio au baada ya kushtukiwa mpango wake akawageuka?

    Mahakamani kufanya nini?Mahakamani kupoteza muda KINGAI JUMANNE MAHITA GOODLUCK Wanatakiwa kurogwa !
  3. A

    Yaliyojiri kesi ya Mbowe 01/02/2022. Luteni Denis Urio amaliza kutoa ushahidi wake. Shahidi wa 13 kuanza 04/02/2022

    Wewe malaya wa kisiasa ulitaka yawe na tija kwenu iliiweje?Maswali hayana tija yes good for you then
  4. A

    Degree ya Clinical Medicine inafanywa miaka mingap huko nje ya nchi?

    YES unafanya mtihani wa pre and post interniship pamoja na MD na baada ya hapo utapangiwa hospitali for Internship
  5. A

    Degree ya Clinical Medicine inafanywa miaka mingap huko nje ya nchi?

    Karibu sana mkuu,tuna group la WHATSAP lenye watanzania waliomaliza kozi hii,wanafunzi wanaoendelea na kozi hii na wanaohitaji kusoma kozi hii.Ni pm namba yako ya Whatsapp.
  6. A

    Kauli ya Jaji Tiganga kwamba huenda Shahidi Ling'wenya alikuwa anapewa majibu ya maswali aliyoulizwa yawaibua Wadau

    POLE KWA KUFIWA NA MUME WAKO KIPENZI.Usipo acha roho mbaya na watoto wako wataingia kaburini soon ili ujifunze zaidi
  7. A

    Mshikamano: BAWACHA Kanda ya Pwani Wamtembelea Mke wa Freeman Mbowe nyumbani kwake

    IDIOT... Huu uzi ni kwa ajili yetu sisi siyo wewe malaya wa kisiasa.Huu uzi ni kwaajili ya wanao tafuta riziki zao mwenyewe siyo wewe mpka upige magoti LUMUMBA
  8. A

    Kesi ya Mbowe Serikali imeingia kwenye mtego huu iuepuke mapema

    Mkuu jingalao ni jirani yangu kashapigwa tukio huku huwezi kumuona kama zamani.
  9. A

    Kesi ya Mbowe Serikali imeingia kwenye mtego huu iuepuke mapema

    Ulivyo mbumbu sasa humbuki wale wenzake walikamatwa lini na yeye alikuwa wapi? Nakukumbusha walikamatwa mwezi AUGUST 2020.Uchaguzi ulikuwa october 2020.Mbowe alikuwa mgombea ubunge jimbo la hai na alishiriki kampeni mwanzo mpaka mwisho kama ni kosa la ugaidi kwanini hakukamatwa kipi hicho.Acha...
  10. A

    Mtaala Mpya wa Elimu Kenya, Competency Based Carriculum (CBC). Sisi bado tuko busy na kukaririsha watoto

    RWANDA tayari wameshaanza huu mwaka wa 5 ni mwendo wa English mwanzo mwisho ambao bado wanasuasua ni Burundi
  11. A

    Mshikamano: BAWACHA Kanda ya Pwani Wamtembelea Mke wa Freeman Mbowe nyumbani kwake

    Mimi ni zaidi yaani nimetokea kuchukia sana CCM na polisi.Yaani leo nimemuona Mwenyekiti wa CCM wilaya kanisani nikaumia sana nikakosa concentration kabisa
  12. A

    Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake. Shahidi Justine Eliya Kaaya, amtaja Ole Sabaya. Kesi imeahirishwa hadi Oktoba 28, 2021

    Tumia akili kidogo,acha akili za siasa za umalaya malaya.Shida siyo kuwa mwanaCCM shida ni yeye kukataa kuwa siyo mwanachama alikuwa na lengo gani.Acha mihemko ya kisiasa
  13. A

    Justine Eliya Kaaya anayetoa ushahidi kwenye kesi ya Mbowe ni nani?

    Shahidi alikuwa haja julikana ,alivyo julikana ndugu yake ambaye ni mpenda haki ndo akatoa ukweli na udhibitisho wa picha in short kesho kwenye cross examination za KIBATARA tutajua zaidi
  14. A

    Justine Eliya Kaaya anayetoa ushahidi kwenye kesi ya Mbowe ni nani?

    Hivi mahakamani hatuwezi kuenda na picha kudhibitisha kuwa shahidi alisema uongo?
  15. A

    Joyce Mukya aliyetajwa kwenye kesi ya Mbowe ni nani?

    Acha siasa za kishamba,acha kutafuta laana .Umekosa cha kuwafurasha mabwana zako hapo Lumumba.Kama unatafuta hela andika kwa kuandika ,andika articles za kukusaidia kuongeza kipato.CCM itapita na laana utapata wewe
Back
Top Bottom