Nashukuru sana jmn, ni kama hiki ndicho nilichosubiri kwa muda mrefu. Asante sana kwa kunielewa na kunipa mwongozo mzuri. Comment yako imegusa kila sehemu yenye hofu na kujibu woga wangu wa kupiga hatua. Asante sana sana sana nimepata kitu.
Noo sihitaji recommendation mm nahitaj utaratibu wa kufikia separation nianze upya maisha kwa amani. Kanisa halitupi muongozo zaid ya mwaka sasa tunapigwa tarehe za usuluishi
Shida sio kesi mimi sitafuti huruma hapa, nimeelezea tuna mwaka tunazungushwa na usuluishi bila barua ya kuamriwa ili tuendelee na upande mwingine. My dear yan unahis mm natafta huruma ili iweje ikiwa hata sasa nataman kuwa separate…. What i need ni kuanza upya maisha bila kikwazo wala...
mwaka mzima tunaangaika na usuluishi, mimi ni mwanamke kikubwa nahitaji hii kuanza upya kabisa. Sina shida na mali maana nilizotafuta zimegeuka ugomvi.
Nina myaka 10 kwenye ndoa iliojaa visa, vipigo na kunyan’ganywa umiliki wa mali, Nilipofikia sasa naogopa hadi kununua kijiko kwan ndugu zake wakija ubeba vitu bila kuomba.
Mwaka 2018 vilitangazwa viwanja kigamboni nikamshirikisha mwenzangu kununua akasema ni mbali, nikajipinda nikanunua ila...
Habari za muda huu,
Wengi wetu humu mmesoma na wengine matokeo ya form four hayakua mazuri. Kuna watu wanarudia na matokeo yanatoka mapema tuu..
Kwanini kusiwe na uwezekano wa mitihani ya NECTA kwa wanaorudia(Private Candidate) kufanyika walau mara mbili kwa mwaka May na November?
Ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.