Recent content by Anana_

  1. A

    Ndoa za kikristo ziruhusu talaka kwa watu walioshindwana kama zilivyo ndoa za Kiislam

    Nashukuru sana jmn, ni kama hiki ndicho nilichosubiri kwa muda mrefu. Asante sana kwa kunielewa na kunipa mwongozo mzuri. Comment yako imegusa kila sehemu yenye hofu na kujibu woga wangu wa kupiga hatua. Asante sana sana sana nimepata kitu.
  2. A

    Ndoa za kikristo ziruhusu talaka kwa watu walioshindwana kama zilivyo ndoa za Kiislam

    Mimi sio singo maza Tuna myaka 10 ya ndoa tulijaliwa mtoto mmoja alifariki 2021 kwa covid.
  3. A

    Ndoa za kikristo ziruhusu talaka kwa watu walioshindwana kama zilivyo ndoa za Kiislam

    Noo sihitaji recommendation mm nahitaj utaratibu wa kufikia separation nianze upya maisha kwa amani. Kanisa halitupi muongozo zaid ya mwaka sasa tunapigwa tarehe za usuluishi
  4. A

    Ndoa za kikristo ziruhusu talaka kwa watu walioshindwana kama zilivyo ndoa za Kiislam

    Shida sio kesi mimi sitafuti huruma hapa, nimeelezea tuna mwaka tunazungushwa na usuluishi bila barua ya kuamriwa ili tuendelee na upande mwingine. My dear yan unahis mm natafta huruma ili iweje ikiwa hata sasa nataman kuwa separate…. What i need ni kuanza upya maisha bila kikwazo wala...
  5. A

    Ndoa za kikristo ziruhusu talaka kwa watu walioshindwana kama zilivyo ndoa za Kiislam

    mwaka mzima tunaangaika na usuluishi, mimi ni mwanamke kikubwa nahitaji hii kuanza upya kabisa. Sina shida na mali maana nilizotafuta zimegeuka ugomvi.
  6. A

    Ndoa za kikristo ziruhusu talaka kwa watu walioshindwana kama zilivyo ndoa za Kiislam

    Nina myaka 10 kwenye ndoa iliojaa visa, vipigo na kunyan’ganywa umiliki wa mali, Nilipofikia sasa naogopa hadi kununua kijiko kwan ndugu zake wakija ubeba vitu bila kuomba. Mwaka 2018 vilitangazwa viwanja kigamboni nikamshirikisha mwenzangu kununua akasema ni mbali, nikajipinda nikanunua ila...
  7. A

    Baraza la mtihani NECTA liweke awamu kwa wanaorudia mtihani ya kidato cha nne

    Habari za muda huu, Wengi wetu humu mmesoma na wengine matokeo ya form four hayakua mazuri. Kuna watu wanarudia na matokeo yanatoka mapema tuu.. Kwanini kusiwe na uwezekano wa mitihani ya NECTA kwa wanaorudia(Private Candidate) kufanyika walau mara mbili kwa mwaka May na November? Ili...
Back
Top Bottom