Hao wa mjini hawana shida, ila ukienda kijijini huko watu hata viatu hawana.
Hakuna anaweza kuafford kununua nguo mpya kugawa, Duniani tunategemeana ulichokichoka wewe mwingine kinamfaa…
Kwaio wewe unaona ni bora usigawe nguo uliovaa ila ukamnunulia mtumba, ila wabongo bana 😀😀😀
Tembea uone, yan duniani nchi zote zilizoendelea zina donation bins, hakuchomi moto vitu vinavyoweza kutumika na mwingine
Mkuu mimi UK nimekaa yan nimeishi wana system nzr sana uwez kuta mtu anachoma vitu vinavyoweza kutumika… Donation ya nguo ni worldwide try to be positive
Nina nguo nyingi nzuri na sina ndugu wa kumgawia… siwez kuzichoma ni nzuri nazipenda natamani nigawie wenye uhitaj pekee.. Hiki ndicho nilichonacho kikubwa ninachoweza kugawa
Mkuu tembea hata nchi kubwa duniani uone…
Ukienda UK wana donation bins kila mtaa, Zimewekwa maalum kwa makubaliano ya nchi, nenda pia marekan wanazo donation bins za kuweka vitu bora usivyovitumia ni tofaut na dust bins… maana yake unachoona hakikufai kuna mwingine kwake ni ndoto..
Nani ananunua? Na atanunulianwangapi? Bro tunaongelea vijiji sio kaya..
Je hizo za karume hazikuvaliwa na watu?
Tunapoongelea kutoa nguo maana yake baada ya hilo zoezi kuna hatua zinafatwa kama kusafishwa kwa madawa na kuondoa uwezekano wa contact disease….
Ingekua kugawa nguo ni magonjwa bas...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.