Shimboni Shicha tubu mangi ako. La le mbe jaribu deda na mamsapu kwamba kukundye ndoo, alafu kumbese Nader uumu na kyemeri.. Kumbya wazi kwamba kada nalabadilika kyafuma fon...
Kulaamuo n dea tubu kulandededa nawe nincha fon.
Eka mangi.
Kundefika MBE.
Mkuu ni kweli mtoto sio shamba.
Hii ni Africa mkuu hakuna kbs vituo vya kulealea wazee.. Hata kama una mali kiasi gani ila utahitaji wasimamizi wa karibu hasa ktk umri kuanzia 70-150. Na hata wazazi wanaorudi wanajua kbs huyu mwanangu ni security ya baadae...! Ukikosa watoto wa kukulea...
Okay... Anafahamu fika kuwa wewe sio mwanae wa kumzaa.Endelea kumuheshimu tu. Km uko vizuri kiuchumi jaribu kuchangia ada ya mdogo wako ambae ni mwanae.
Usimbeze hata siku moja..pole mkuu
Muite baba yako mlezi mweleze kinagaubaga kuwa unampenda na unamuheshimu yeye na mchango wake hadi ulipofika sasa!
Mweleze kuwa upon tayari kutoa msaada kwa wadogo zako wa kimawazo ( km una uwezo changia ada ya mmoja wa wadogo zako wa baba mlezi)
Huyu baba mwingine msikilize kwa umakini...
Makubaliano ya kumwachia MTU mwanao alafu usijishuhulishe kabisa nae?
Makubaliano hayo yamfanye mtoto aangamize ndoto zake?
Makubaliano kwamba mama apambane na mtoto ktk hali zote ila likija suala la mtoto kupata pesa then asiingilie ugomvi wazazi amtunze baba vzr??
Au unaongelea makubaliano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.