Recent content by Analytical

  1. A

    For the sake of chadema: Dr slaa has to go now!

    Mkuu vipi ACT imebuma nini? Si mlijipambanua kama mbadala wa CHADEMA? What has happened?
  2. A

    Ni Busara Wajumbe Wote Wa Bunge la Katiba, Kumuunga Mkono Sitta, Awe Mgombea Pekee?!.

    Kwani akishakuwa na sifa yote hiyo kuna shjida gani kupambana na wengine watakoamua? Au unahofu atabwagwa?
  3. A

    Tuhuma dhidi ya Zitto kuhongwa magari: Nimrod Mkono akanusha!

    Dar es Salaam.Mbunge wa Musoma Vijijini (CCM), Nimrod Mkono ametoa ufafanuzi juu ya uhusiano wake na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe. Hatua hiyo ya Mkono imekuja baada ya Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu kumtuhumu kuwa aliwahi kumpa...
  4. A

    Najikuta naanza KUIKUBALI CHADEMA..!

    Eng. Y. Bihagaze Salute you a million
  5. A

    Tuhuma dhidi ya Zitto kuhongwa magari: Nimrod Mkono akanusha!

    Sasa nani muongo, hapa aliyesema alipewa magari mawili au yule aliyeanza kuzusha tuhuma badala ya kujibu? At least kuna coincidence kwamba kweli Zitto ana magari mawili kutoka kwa Mkono and not the other wise.
  6. A

    Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe

    kwanza unatakiwa uprove kuwa ni kweli alichukua. Pili, unless useme beyond reasonable doubt kuwa alichukua kwa makusudi ya kusaliti chama. Mbona hujahoji pesa zilizotoka kwa Sabodo?
  7. A

    Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe

    Tuhuma kuwa Mbowe alipewa pesa na zikatumika kwenye kampeni za chama, tarime (ubunge) na kwa Dr Slaa (uraisi), sioni kama ni tatizo. Tena tulitakiwa kumsifu Mbowe kama strategic CEO anayeweza kusolicit funds kufanikisha malengo ya organisation. Hii ni kwa sababu hapa hakupewa kama Mbowe...
  8. A

    Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe

    Tuhuma kuwa Mbowe alipewa pesa na zikatumika kwenye kampeni za chama, tarime (ubunge) na kwa Dr Slaa (uraisi), sioni kama ni tatizo. Tena tulitakiwa kumsifu Mbowe kama strategic CEO anayeweza kusolicit funds kufanikisha malengo ya organisation. Hii ni kwa sababu hapa hakupewa kama Mbowe, bali...
  9. A

    Dr Alex, Msaidizi wa Zitto Apigwa na Kujeruhiwa Vibaya Tegeta!

    Kwa hiyo zile violance na yale maandamano aliyokuwa anayapanga dhidi ya Dr Slaa kule Kigoma yamekuwa implemented kwake. Ama kweli waha kiboko.
  10. A

    Dr Slaa atikisa Iramba Magharibi- Singida

    Na kwa wasiofahamu pia, Muhonga Luhanywa ni dada yake Zitto Kabwe na mbunge wa viti maalum
  11. A

    VIDEO ya Mkutano wa Chadema Arusha 29112013 baada ya maamuzi ya kamati kuu

    Te te teh! Huwezi kidhi kiu yako ndani ya mtumbwi kwa kutoboa mtumbwi ili unywe maji. Si ukishakunywa maji, si mtazama wote? (Bananga, 2013)
  12. A

    Mapokezi makubwa kwa Dr Slaa jijini Dar es Salaam akitokea Kigoma

    Dr Slaa the legendary. Simba wa siasa za Tanzania baada ya Julius Kambarage Nyerere. Salute you kamanda
  13. A

    Mapokezi makubwa kwa Dr Slaa jijini Dar es Salaam akitokea Kigoma

    We Masalia na mnafiki mkubwa huwezi kuongelea mambo ya CHADEMA.
Back
Top Bottom