Hapana anaweza asiwe na maana hiyo labda , wengi lugha zetu za kwanza ni lugha zetu za makabila alaf kiswahili lugha ya pili mimi nimemuelewa kwa upande huo. Mfn kuna maeneo mimi hukwepa kutumia msamiati wa kiswahili kutokana na kusumbuliwa na matumizi sahihi ya silabi L& R. Lakini kama...
Tuendelee kutafuta hela ndugu zangu mimi mwenyewe ni muhitimu wa chuo ambaye sikupata kazi niliyosomea, lakini hii haiondoi ukweli kwamba natamani nipate pesa Mwanangu asome shule yenye mazingira mazuri na malezi bora. Kuhusu watoto kumaliza na kukaa tu hii pia inachangiwa na uwezo wa wazazi...
I can only say, there is the difference between the one who gets prepared to be a president and the one whose leadership came as an emergency. You can not learn how to lead while you are leading. This is the country not a car.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.